FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,353
Sijui kwanini bana, Denis yuko sharp sanahivi yule delofeu tulimrudisha kwa kiasi gani?maana back pass nyingi hajui kunyumbulika anacheza winger ya kizamani kusubiri huko huko juu aisee kwanini denis suarez mnyama hamchezeshi?