Akajitafakari kidogo sio bureHata hiyo Suarez?
Hapana hajapona goti vizuri na nafasi anayochezeshwa ni mpya kwake no 11.Huyu Suarez kaisha tukubaliane na anastaili kuuzwa haraka maana anatucost kipuuzi puuzi.
Inabidi akae nje hadi apone. Au awe anacheza 45 minutes.Hapana hajapona goti vizuri na nafasi anayochezeshwa ni mpya kwake no 11.
Namjua Suarez is coming back hadi mtapenda very soon ameshajua performance yake sasa hiviInabidi akae nje hadi apone. Au awe anacheza 45 minutes.
Kweli kabisa, asije akatukosesha ubingwa kama Neymar. Maana hiyo game ilikuwa tupige goli 4. Jamaa alikosa magoli 2 ya wazi kabisa...Huyu Suarez kaisha tukubaliane na anastaili kuuzwa haraka maana anatucost kipuuzi puuzi.
Alafu kwanini hachezeshwi aisee?Kinachonifurahisha ni kuwa sasa hivi kikosi chetu kinaimprove maana tunapata rotation kwa kila mchezaji sema Denis Suarez ananiuma kutopata time ya kutosha kuonesha mavitu yake.