FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Uzuri mashabiki wa barca sio wabishi team bado iko kwenye balance pamoja na kupungua one player
Jamaa alifungia mkono kweli. Bado tutawasumbua sana hawa. Ila forward yetu umakini mdogo sana. Tungekuwa na goli nyingi muda huu. Nafikiri Paco inabidi acheze. Huyu Luis amekosa ladha kabisa.
 
Jamaa alifungia mkono kweli. Bado tutawasumbua sana hawa. Ila forward yetu umakini mdogo sana. Tungekuwa na goli nyingi muda huu. Nafikiri Paco inabidi acheze. Huyu Luis amekosa ladha kabisa.
Ndio nashangaa tulitakiwa tuwe tumeshinda goli 3 tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom