Combination ya Paulinho na S Roberto wakianza kucheza am impressed, inasaidia hadi ubovu wa deleouf usionekaneSiku tukikutana na real madrid naamini RedMos ataturahisishia hii kazi ya kuchinja jogoo la x-mass maana waga anajifunga mno....
Sijaona fresh. Ni kweli ametumia mkono.Duu majanga Pique Red card
Jamaa alifungia mkono kweli. Bado tutawasumbua sana hawa. Ila forward yetu umakini mdogo sana. Tungekuwa na goli nyingi muda huu. Nafikiri Paco inabidi acheze. Huyu Luis amekosa ladha kabisa.Uzuri mashabiki wa barca sio wabishi team bado iko kwenye balance pamoja na kupungua one player
Not sure cause kuna possibility ya mpira kufuata mkono piaSijaona fresh. Ni kweli ametumia mkono.
Ndio nashangaa tulitakiwa tuwe tumeshinda goli 3 tayariJamaa alifungia mkono kweli. Bado tutawasumbua sana hawa. Ila forward yetu umakini mdogo sana. Tungekuwa na goli nyingi muda huu. Nafikiri Paco inabidi acheze. Huyu Luis amekosa ladha kabisa.
Ngoja tuone 2nd 1/2Lakini tunashinda goali tatu leo
Magoli 100 Tayari Kafikisha Leo.Goaaal Messi........60'