mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Management they must do something kuna tofauti kubwa sana ya composition ya team enzi hizi na zile ambazo tulianza kuipenda Barca
Wachezaji wengi sasa hivi ni liability sio asset kabisa ,mfano juzi Suarez aliumia akawa anashindwa hata kutoka kwa sababu ni replacement -best