Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,073
- 304
...Manda, 24th/25th February ni wiki kumi tu toka sasa,.... ushaanza kuhesabu vifaranga wakati hata kuku hajataga? ha ha ha... well well well!
nimemuona Mourinho na glass yake ya Champagne... jamaa tayari anajiramba mdomo, he cant wait!...
safari hii Chelsea nishawa count out,.... Man U mnh, sijuiiiii!!!.... Arsenal nauhakika tunavuka last 16 bila wasiwasi...
unasema hutakimbia jukwaa, nami nishaiweka tarehe kwenye Diary!
Uzuri wa washabiki wa Ze Gunnaz KASORO wewe ni mabingwa wa Kukimbia Jukwaa, all in all FATE will tell!,mnadhani Arsenal ni Manutd?
Nevertheless nimebakiza mechi moja ya kesho dhidi ya Liverpool kuwa na shabiki wa muda wa Ze Gunnaz, after that hamna lenu!