FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

...Manda, 24th/25th February ni wiki kumi tu toka sasa,.... ushaanza kuhesabu vifaranga wakati hata kuku hajataga? ha ha ha... well well well!

nimemuona Mourinho na glass yake ya Champagne... jamaa tayari anajiramba mdomo, he cant wait!...

safari hii Chelsea nishawa count out,.... Man U mnh, sijuiiiii!!!.... Arsenal nauhakika tunavuka last 16 bila wasiwasi...

unasema hutakimbia jukwaa, nami nishaiweka tarehe kwenye Diary!

Uzuri wa washabiki wa Ze Gunnaz KASORO wewe ni mabingwa wa Kukimbia Jukwaa, all in all FATE will tell!,mnadhani Arsenal ni Manutd?

Nevertheless nimebakiza mechi moja ya kesho dhidi ya Liverpool kuwa na shabiki wa muda wa Ze Gunnaz, after that hamna lenu!
 
:eek::eek::eek: hivi ni keshokutwa eeeh??? :D:D:D...

kuwafunga ni muhimu, tulianza na Man U, Chelsea, halafu na nyie ni lazima...! hiyo ndio Priority yetu msimu huu, esp hii 1st round ya EPL... ummm, 'our Chritmas present!'

Mkuu kumbe bado washabiki wa ganaz mpo? Ila wee una roho ngumu kama Wenga. Yaani bunduki zisizo na risasi zichukue kombe? Hata Wenga haamini hayo! Yaani mnakusanya nguvu mwaka mzima ili muwafunge vigogo?
Kuna mnazi mwenzenu anaitwa KKN, yeye kashtuka siku nyiingi, kajinyamazia kimyaa.
 
It's funny jinsi ulivyo orodhesha timu zote tatu, kasoro Liverpool. Hivi mnataka Liverpool ifanye nini season hii ili ipewe heshima yake?

Btw, mimi ni Liverpool for life...ha ha haaaaa

Mkuu Bwawa la maini ni fighters, I don count them out had May.
 
ahsante, haya input yako kwenye hii draw vipi, au ndio bado una mshangao?

Duh...naona mumenigandama kama gundi..wewe,Roya Roy,Manda na Idimi.

My thing ni kwamba bado siku kibao and anything can happen
from injuries to suspensions.naona mumesha tu-write off for
whatever reasons lakini mimi bado uzalendo ninao tu!

Viva Ze Bluzz!!!
 
Duh...naona mumenigandama kama gundi..wewe,Roya Roy,Manda na Idimi.

My thing ni kwamba bado siku kibao and anything can happen
from injuries to suspensions.naona mumesha tu-write off for
whatever reasons lakini mimi bado uzalendo ninao tu!

Viva Ze Bluzz!!!

Kinacho tuuma ni vile tutakosa 'kampani' lako na la 'wenzako', cant wait to attend your 'burrial'..
 
Kinacho tuuma ni vile tutakosa 'kampani' lako na la 'wenzako', cant wait to attend your 'burrial'..

Dont be suprised when that iishh is flipped and I be the one
attending 'your burial'...afu mko wengi nyie wahuni!!!!..LOL!:)
 
I can honestly say the same thing......tumefanyia mlichowafanyia hao vibonde wawili. Tena sisi tulikuwa wa kwanza. Yaani sisi tulipata nyama fresh kabisa, nyinyi mkamalizia makombo yetu....lol

Tusubiri hiyo jumapili....

Ndio maana kocha wenu aliongea ule upuuzi siku chache zilizopita, ila sishangai kipindi hiki liverpool wanamuwa mdebwedo nina uhakika come February na march Madrid anawapa kichapo na uchezaji wenu wa kumtegemea refa.
 
Nimetengeneza hii kitu, Ab-Tichaz anakumbuka ile ya mwaka jana(final)

[media]http://www.youtube.com/watch?v=OtITQ_aCjSY[/media]
 
Nimetengeneza hii kitu, Ab-Tichaz anakumbuka ile ya mwaka jana(final)

[media]http://www.youtube.com/watch?v=OtITQ_aCjSY[/media]

Duh....hahaha mtani wangu, kumbe unasuka nyengine sio?
Itabidi nijifiche na hizi video zenu maana ni nuksi tupu...:)!
 
Who will win
 

Attachments

  • 112022[1].jpg
    112022[1].jpg
    18.8 KB · Views: 102

Similar Discussions

Back
Top Bottom