GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 3,754
- 4,801
Kufanya nn huko?Marhaba karbu London
Kufanya nn huko?Marhaba karbu London
Urefushwe kidogoKufanya nn huko?
Huu ufupi ni bora kwetu ndio umetupa mataji na kusaidia kuzifunga team za London kama Chelsea na ArsenalUrefushwe kidogo
Round hiii ucjarbu kusema mtaifungaHuu ufupi ni bora kwetu ndio umetupa mataji na kusaidia kuzifunga team za London kama Chelsea na Arsenal
Lkn situlisha wafunga? Historia haitabadilika, lkn kwa huyu kocha wenu bado tu mkikatiza anga zetu tutawapiga tu maana tunamjua vzr na timesha mpiga vya kutoshaRound hiii ucjarbu kusema mtaifunga
Arsenal maana hata bayan wameshajua
Mteremko ulikua wakat wa babu
Haa haa haa now mkitupga na tushindweLkn situlisha wafunga? Historia haitabadilika, lkn kwa huyu kocha wenu bado tu mkikatiza anga zetu tutawapiga tu maana tunamjua vzr na timesha mpiga vya kutosha
Mkuu arsenal itabiki kuwa arsenal tu, jiandaeni kosaikojia. Mkitegemea makubwa mtaumia sanaHaa haa haa now mkitupga na tushindwe
Kuscore bhas hapo tunajidole wenyewe
Huyo kocha wenu ni Kibonde wetu muulizeni akiwa PSGRound hiii ucjarbu kusema mtaifunga
Arsenal maana hata bayan wameshajua
Mteremko ulikua wakat wa babu
Hahaaa huoni jamaa kakimbia kabisaHuyo kocha wenu ni Kibonde wetu muulizeni akiwa PSG
Kumchukua WilliamKufanya nn huko?
Willian ni ujinga tu, sioni anakuja kufanya nn BarcaKumchukua William
Ngoja tusubiri muda utaongeaWillian ni ujinga tu, sioni anakuja kufanya nn Barca
Ukiangalia winga ya kulia kuna Messi halafu yupo Dembele, yaani natamani hata wamfanyie majaribio Dembele kucheza upande wa kuliaNgoja tusubiri muda utaongea
Hii hapawakuu ratiba yetu ya preseason inasemaje.
Anacheza winga yakulia ingawa anatumia mguu wakushoto,pia anafunga magoli mengi akiwa nje ya box,mashuti yake dizaini ya coutinho pia nifundi sana wakuchezea Mpira,pia anaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji kwa ufanisi wa hali ya juu.Pia umri wake nimdogo ana miaka 21 tu.Mnaomfahamu huyu dogo mtupatie info zake. Nafasi anayocheza na style yake. Anatufaa?
Maana naona tayari ni done deal, tumempokonya mtu tonge mdomoni!View attachment 817462
Mkuu Messi anacheza kulia na dembele, Cotinho anacheza kushotoOk, namuombea awe na partnership nzuri na Coutinho upande wao wa kulia, huku nikimiombea dembele awashe moto na Messi upande wa kushoto.
Msimu huu tutawanyanyasa sana!