FC BARCELONA: Club inayoongoza kwa Makombe Ulaya.

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,651
clubs-most-trophies-decade-1451043059-800-640x360.jpg



HIZI NDIO CLUB ZENYE MAKOMBE MENGI ULAYA.
5.Juventus. Msimu huu walionekana bora sana na walitabiriwa na wengi kwamba huenda wangeweza kuchukua ubingwa wa Champions League lakini wakafungwa na Real Madrid. Juventus ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Italia kwani wameshashinda Serie A mara 33 wakashinda Italian Cup mara 12 na Italia Super Cup mara 7,Champions League mara 2,Europa League mara 3 na kombe la washindi mara moja,Uefa super cup mara mbili,klabu bingwa dunia mara mbili na kuwafanya jumla kuwa na makombe 62.

4.Manchester United. Hii ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Uingereza ikiwa imeshashinda vikombe 20 vya ligi kuu nchini Uingereza huku wakiwa wamebeba Fa mara mara 12, vikombe vya ligi mara 5 na mara 21 wakibeba ngao ya hisani,kombe la washindi mara moja,super cup mara 1,intercontinental cup mara 1,klabu bingwa dunia 1 na makombe makubwa ya Ulaya wameshashinda mara 4 huku mwaka huu wakibeba kombe la Europa ambalo walikuwa hawajalibeba kwa siku nyingi na jumla pamoja na makombe ya vilabu vya dunia na mabara United wameshinda vikombe 66.

3.Bayern Munich.Wana vikombe vya Bundesliga mara 27 huku wakiwa na vikombe vya ligi ya Ujerumani mara mara 6,German Cup mara 18, German Super Cup mara 5, nje ya Ujerumani klabu hii imeshashinda makombe ya Ulaya mara 5,Intercontinental cup mara 2 huku wakiwa wameshinda kombe klabu bingwa dunia mara moja, kiujumla klabu hiyo ya Ujerumani imechukua jumla ya makombe 67 hadi sasa.

2.Real Madrid. Wamefanikiwa kutetea kombe la Champions League na hiyo ikawapa kombe hilo kwa mara ya 12 ya makombe ya ya Uefa, Uefa super cup mara 3,klabu bingwa dunia mara 2, La Liga mara 33, Copa Del Rey mara 19, 9 Spanish super cup,intercontinental cup mara 3,Spanish League Cup 1 na Europa 2 hii ikiwapa jumla ya makombe 84.

1.Kama mpira ni makombe baasi Barcelona ndio klabu bora barani Ulaya kwa sasa kwani ndio klabu inayoongoza kuchukua makombe mengi ulimwenguni kuliko klabu nyingine yoyote, wameshashinda ubingwa wa La Liga mara 24,Spanish Cup 29,Spanish Super Cup mara 12,Spanish League Cup mara 2,klabu bingwa dunia mara 3, na mwaka 2009 walishinda makombe 6,makombe 5 ya Ulaya,kombe la washindi mara 4,Uefa super cup mara 5 lakini jumla Barcelona wana makombe 87.
 
Mkuu usisahau kunakshi na hii hapo kwa REAL MADRID...kuwa MAKAO MAKUU YA MABINGWA WA MUDA WOTE WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE YAPO PALE REAL MADRID...YANI ANAYEWAFATIA REAL NI AC-MILLAN AMBAYE AMEZIDIWA VIKOMBE VITANO YANI ILI AWAFIKIE REAL INATAKIWA NA NYIE MUMCHANGIE VIKOMBE VYENU VYA UCL VYOTE NDO ATANUSA, MBALI NA APO...W're the BOSSES!

DBj5jqvUMAAdq0C.jpg
 
Real Madrid
UCL 12
La Liga 33
———————
Barca UCL 5
La Liga 24
Ayo mengine ni changamsha genge tu ila ubabe unabaki hapo kwa Spain ukiona msimu umeisha haujagusa UCL au La Liga jua msimu umeenda ovyo.
 
Shem, naomba kama una elfu kumi unirushie. Nimetembelewa n shangazi Salome atalala home , sina stock hata kidogo ya chakula.
Msg ya Barcelona kwenda kwa Real Madrid
 
clubs-most-trophies-decade-1451043059-800-640x360.jpg



HIZI NDIO CLUB ZENYE MAKOMBE MENGI ULAYA.
5.Juventus. Msimu huu walionekana bora sana na walitabiriwa na wengi kwamba huenda wangeweza kuchukua ubingwa wa Champions League lakini wakafungwa na Real Madrid. Juventus ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Italia kwani wameshashinda Serie A mara 33 wakashinda Italian Cup mara 12 na Italia Super Cup mara 7,Champions League mara 2,Europa League mara 3 na kombe la washindi mara moja,Uefa super cup mara mbili,klabu bingwa dunia mara mbili na kuwafanya jumla kuwa na makombe 62.

4.Manchester United. Hii ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Uingereza ikiwa imeshashinda vikombe 20 vya ligi kuu nchini Uingereza huku wakiwa wamebeba Fa mara mara 12, vikombe vya ligi mara 5 na mara 21 wakibeba ngao ya hisani,kombe la washindi mara moja,super cup mara 1,intercontinental cup mara 1,klabu bingwa dunia 1 na makombe makubwa ya Ulaya wameshashinda mara 4 huku mwaka huu wakibeba kombe la Europa ambalo walikuwa hawajalibeba kwa siku nyingi na jumla pamoja na makombe ya vilabu vya dunia na mabara United wameshinda vikombe 66.

3.Bayern Munich.Wana vikombe vya Bundesliga mara 27 huku wakiwa na vikombe vya ligi ya Ujerumani mara mara 6,German Cup mara 18, German Super Cup mara 5, nje ya Ujerumani klabu hii imeshashinda makombe ya Ulaya mara 5,Intercontinental cup mara 2 huku wakiwa wameshinda kombe klabu bingwa dunia mara moja, kiujumla klabu hiyo ya Ujerumani imechukua jumla ya makombe 67 hadi sasa.

2.Real Madrid. Wamefanikiwa kutetea kombe la Champions League na hiyo ikawapa kombe hilo kwa mara ya 12 ya makombe ya ya Uefa, Uefa super cup mara 3,klabu bingwa dunia mara 2, La Liga mara 33, Copa Del Rey mara 19, 9 Spanish super cup,intercontinental cup mara 3,Spanish League Cup 1 na Europa 2 hii ikiwapa jumla ya makombe 84.

1.Kama mpira ni makombe baasi Barcelona ndio klabu bora barani Ulaya kwa sasa kwani ndio klabu inayoongoza kuchukua makombe mengi ulimwenguni kuliko klabu nyingine yoyote, wameshashinda ubingwa wa La Liga mara 24,Spanish Cup 29,Spanish Super Cup mara 12,Spanish League Cup mara 2,klabu bingwa dunia mara 3, na mwaka 2009 walishinda makombe 6,makombe 5 ya Ulaya,kombe la washindi mara 4,Uefa super cup mara 5 lakini jumla Barcelona wana makombe 87.
Realmadrid akichukua Supercup, Ngao ya hisani Spain na Club worldcup tayari anakuwa ameshamkuta Barca
 
Real Madrid
UCL 12
La Liga 33
———————
Barca UCL 5
La Liga 24
Ayo mengine ni changamsha genge tu ila ubabe unabaki hapo kwa Spain ukiona msimu umeisha haujagusa UCL au La Liga jua msimu umeenda ovyo.
Data zipo nyingi sana. Hizi nazo ni data kwa iyo usipinge. Copa del ley Madrid wanashiriki na hawapendi kutolewa.
 
Nyie tambeni na vikombe vyenu Vya Maji taka hivyo sisi...tuendelee kuwa MABINGWA WA ULAYA NZIMA NA NYIE MKIWEMO NDANI YAKE...INASIKITISHA MNAVYOSEMA MNA VIKOMBE VINGI ALAFU MPO HOVYO KWENYE UBINGWA WA ULAYA...MAANA ATA TUKIWAPA BURE UEFA CHAMPIONS LEAGUE TITTLE 6 HAMTUFIKII.....REAL MADRID TULISHAFUNGA NDOA NA MKE WETU UEFA NA HAKIKA HAKUNA WA KUTUTENGANISHA.

DBcDKpCXgAAGFvz.jpg
 
Yani ata tukiwapa Vikombe 8 Vya LaLiga mvichukue bure hamtufikii màjirani Duh!...it's obviously We're the BOSSES in TROPHIES BUSSINESS, No one like #US...We're the Winning Lane!!!

5f6d509f61abb3f376deb57fc7c79ae4.jpg
 
Nyie tambeni na vikombe vyenu Vya Maji taka hivyo sisi...tuendelee kuwa MABINGWA WA ULAYA NZIMA NA NYIE MKIWEMO NDANI YAKE...INASIKITISHA MNAVYOSEMA MNA VIKOMBE VINGI ALAFU MPO HOVYO KWENYE UBINGWA WA ULAYA...MAANA ATA TUKIWAPA BURE UEFA CHAMPIONS LEAGUE TITTLE 6 HAMTUFIKII.....REAL MADRID TULISHAFUNGA NDOA NA MKE WETU UEFA NA HAKIKA HAKUNA WA KUTUTENGANISHA.

View attachment 524792
Tatizo lenu hamkubari yaishe visababu vingi tu. Madrid wanavotolewaga kwenye Copa Del rey wanatoka vichwa chini na hakuna anaependa iwe ivo. Lakin wabongo unatuaminisha kuwa havitaki , kwa nn anashiriki?
 
clubs-most-trophies-decade-1451043059-800-640x360.jpg



HIZI NDIO CLUB ZENYE MAKOMBE MENGI ULAYA.
5.Juventus. Msimu huu walionekana bora sana na walitabiriwa na wengi kwamba huenda wangeweza kuchukua ubingwa wa Champions League lakini wakafungwa na Real Madrid. Juventus ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Italia kwani wameshashinda Serie A mara 33 wakashinda Italian Cup mara 12 na Italia Super Cup mara 7,Champions League mara 2,Europa League mara 3 na kombe la washindi mara moja,Uefa super cup mara mbili,klabu bingwa dunia mara mbili na kuwafanya jumla kuwa na makombe 62.

4.Manchester United. Hii ndio klabu inayoongoza kwa mafanikio nchini Uingereza ikiwa imeshashinda vikombe 20 vya ligi kuu nchini Uingereza huku wakiwa wamebeba Fa mara mara 12, vikombe vya ligi mara 5 na mara 21 wakibeba ngao ya hisani,kombe la washindi mara moja,super cup mara 1,intercontinental cup mara 1,klabu bingwa dunia 1 na makombe makubwa ya Ulaya wameshashinda mara 4 huku mwaka huu wakibeba kombe la Europa ambalo walikuwa hawajalibeba kwa siku nyingi na jumla pamoja na makombe ya vilabu vya dunia na mabara United wameshinda vikombe 66.

3.Bayern Munich.Wana vikombe vya Bundesliga mara 27 huku wakiwa na vikombe vya ligi ya Ujerumani mara mara 6,German Cup mara 18, German Super Cup mara 5, nje ya Ujerumani klabu hii imeshashinda makombe ya Ulaya mara 5,Intercontinental cup mara 2 huku wakiwa wameshinda kombe klabu bingwa dunia mara moja, kiujumla klabu hiyo ya Ujerumani imechukua jumla ya makombe 67 hadi sasa.

2.Real Madrid. Wamefanikiwa kutetea kombe la Champions League na hiyo ikawapa kombe hilo kwa mara ya 12 ya makombe ya ya Uefa, Uefa super cup mara 3,klabu bingwa dunia mara 2, La Liga mara 33, Copa Del Rey mara 19, 9 Spanish super cup,intercontinental cup mara 3,Spanish League Cup 1 na Europa 2 hii ikiwapa jumla ya makombe 84.

1.Kama mpira ni makombe baasi Barcelona ndio klabu bora barani Ulaya kwa sasa kwani ndio klabu inayoongoza kuchukua makombe mengi ulimwenguni kuliko klabu nyingine yoyote, wameshashinda ubingwa wa La Liga mara 24,Spanish Cup 29,Spanish Super Cup mara 12,Spanish League Cup mara 2,klabu bingwa dunia mara 3, na mwaka 2009 walishinda makombe 6,makombe 5 ya Ulaya,kombe la washindi mara 4,Uefa super cup mara 5 lakini jumla Barcelona wana makombe 87.

Spanish cup ni kombe la mbuzi
 
Mashabiki wa Madrid mapovu yanawatoka vya kutosha sana
 
Mkuu usisahau kunakshi na hii hapo kwa REAL MADRID...kuwa MAKAO MAKUU YA MABINGWA WA MUDA WOTE WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE YAPO PALE REAL MADRID...YANI ANAYEWAFATIA REAL NI AC-MILLAN AMBAYE AMEZIDIWA VIKOMBE VITANO YANI ILI AWAFIKIE REAL INATAKIWA NA NYIE MUMCHANGIE VIKOMBE VYENU VYA UCL VYOTE NDO ATANUSA, MBALI NA APO...W're the BOSSES!

View attachment 524480
Fungua uzi wako
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom