Kaka umenena vyema, mimi kuna watu nashangaa kuanza Barca. Yaani pale anzisha Semedo, Alba, tia umtiti walau na huyu Lenglet ili apate uzoefu zaidi.Tatzo syo wachezaji tatzo ni kocha unamsajili mchezaji nafasi ya kiungo wewe unakuja kumchezesha wings ndo msimu juzi tulishinda nyumbani goal 3 kwa1 dhidi ya Roma tukaenda Roma tukafungwa 3kwa0 tukatolewa msimu Jana tumeshinda nyumbani goal 3kwa0 dhid ya Liverpool tukaenda anfield kupigwa goals be 4 kwa 0 ko huu ni muendelezo mbovu be wa valvede una viungo Kama busquet,de jong,auther ,raktic, Vidal ukimuacha Roberto ambae leo ni full kesho utampanga kiungo unashindwa kupanga kikosi imara unakuja forward unao watu Kama messi,Suarez,dembele,grizman, coutinho, Perez, Malcolm Na wengneo unashindwa kuweka watu wa kuforce matokeo mfano Suarez syo amalize dakika 90 haya kwenye kiungo busquet syo lazma amalize dakika 90 kwa kuwa umri umeenda haya Roberto syo lazma aanze kwa kuwa una viungo wengi Yule asubiri anapotoka semedo yeye anaingia kwa ajiri ya kusaka matokeo coz anapanda Sana haya kwenye beki Una pique, Clement,umtiti,semedo, Alba syo lazma pique amalize dakika 90 au mechi zingne asianze kabsa aanze umtiti
Toa Bisquets, weka De Jong, weka Arthur na Rakitic kati, mbele pale ndo shuhuli sasa, Suarez huwa hatabirikagi huyu mnyama ila ni fighter haswa, anaweza kuforce matokeo labda tu itokee asipate chances za kutosha.