Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,187
- 21,521
RM
Sasa Brother tupe translation ya hili gazeti.
Ni upuuzi kulilia nafasi moja aliyokosa Dembele na kujisahaulisha nafasi zaidi ya tatu alizokosa Suarez!Mitazamo mingine noma sana mkuu
Kuna mwanangu mmoja huku anadai Dembele kwa kukosa vile ile game ya Liverpool Nou camp awekwe benchi kisha Coutinho ndio awe regular left wing
Sasa kweli Coutinho ni wa kumuweka Benchi Dembele au mahaba
Ni upuuzi kulilia nafasi moja aliyokosa Dembele na kujisahaulisha nafasi zaidi ya tatu alizokosa Suarez!
Winger EPL akikupa goli 15 huyo ni world classMkuu huyo mtu ana goli 22 za ligi(EPL) na tena sio Centre Forward
Kule EPL winger anaekupigia goli zaidi ya ishirini za ligi ndani ya msimu mmoja huyo ni world class
Sasa Dembele kufika goli 15 tu za ligi tena la liga ni bado, yaani jambo lililoko hewani
Winger EPL akikupa goli 15 huyo ni world class
Nilikuja humu labda nitapata link game ya usiku wa leo ila sijakuta wenyeji. Liver na Valencia wametuumiza sanaHawaamini kilichowakuta
Teeh
TehNilikuja humu labda nitapata link game ya usiku wa leo ila sijakuta wenyeji. Liver na Valencia wametuumiza sana
Asante sana mkuuTeh
Ngoja niondoke
Wenzako wasije wakanikuta
Polen sana wakuu
Ndo maisha
Waungwana tusisahau Lapulga MESSI akiwa Barca ni AK45 akitoka nje ya team hii ni kama fimbo inayotumiwa na mwalimu wa BABY class ,muwe na mapumziko mema
Dada huyo mtu hana kipaji ila ana juhudi binafsi
Kaka dunia hii ya sasa kipaji hakina maana kama hakikupi mafanikio ya nje na ndani ya eneo husika