ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Wadau kuna News gani mpya klabuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna jipya zaidi ya jezi mpya mbayaaaaa!Wadau kuna News gani mpya klabuni?
toka mfungwe mnaona kila kitu kibayaa Mbona jezi nzuri tuHamna jipya zaidi ya jezi mpya mbayaaaaa!
toka mfungwe mnaona kila kitu kibayaa Mbona jezi nzuri tu
Hatuwezi kuwaacha mkuu lazima tuwafariji kila timu inakipnd chake kigumu inapitia faraja n Muhimu
Hebu tuache mkuu
Hamna jipya zaidi ya jezi mpya mbayaaaaa!
Uko serious unamtaka Sadio Mane Barca? Acha masikhara!Kwa huu usajili wanaofanya Los Blancos msimu huu automatically sisi kama Prime rivals wao inabidi tumsajili Joao Felix. Maana wao baada ya kumuongeza Hazard na huyo Jovic mechi za El Clasico zitakuwa ngumu kuangalia. Hapa timu inatakiwa imsajili Joao Felix na ikiwezekana Sadio Mane aje pia, ambapo Joao Felix na Dembele wawe wanatokea bench
Nilikuwa nabishana na wadau Fulani mtaani nikaargue sana kuwa Coutinho sio Forward kama kocha huyu Valverde anavotaka kuiaminisha dunia, Coutinho anatakiwa kutokea eneo alilokuwapo Iniesta na yawezekana akapata mafanikio kuliko hata Xavi(assists and goals wise)
Uko serious unamtaka Sadio Mane Barca? Acha masikhara!
cheko la masikitikobarcelona inawafuatilia nyota , junior firpo toka real bets, firipe luis, ricardo pereira toka leicister , kuja kuchukua nafas ya nelson semedo ambaye anataka kuondoka kwenda athletico madrid,
barcelona pia inaangalia uwezekano wa kumsahini golikipa mkongwe gianluigi bufon 40,kuja kuchukua nafas ya jasper cillessen endapo akiondoka ,
kweli barca tumeishiwa
soon tutamtaka vander sar,fabien bartez na wakongwe wwngine,
Haka Kagenge Walizani Kumnunua Dembele na Coutinho ndiyo wamenunua Makombe.
Coutinho Flope, Dembele prone injury, Suarez Finished, Messi Jogoo la Shamba haliwiki Anfield, Busquet Kazeeka, Pique kazeeka, Alba uchochoro, Rakitiki Kazeeka, Vidal brainless, Umtiti Finished ....
Sasa munategemea nini?
Jiandaeni kurudi mulipotoka kabla ya 2006.
subirini tuu mwakaniTumechukua ubingwa mapema wa ligi tukomae na UEFA sasa hahahahahahahahah
Dembele kukosa two clear chance kulitufanya tutoke game ya kwanzaDembele, Semedo, Coutinho Tunajikuta tena tunaondoa wachezaji bora na kuleta uozo
Wala husikii mizigo Pique, Suarez wakiongelewa kuondoshwa..
Na dhambi ya kubagua wachezaji weusi itatutesa sana
Nina imani kubwa Dembele angeshiriki kikamilifu ile game na Liver tusingepoteza