mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Walikua wanamtaka ac Roma huu ndio muda wakutumia busara za hali ya juu kabisa na kuhama tena kocha anafanya vizuri sana kumuondoa kwenye list ya players wa UEFAHuyu Semedo kama tumepewa bure yani muda mfupi kama vile katokea La masia sasa naona tik tak inakaa mahala pake pale mbele vile vidume vitatu havitulii hapo lazima upate kazi utamkaba nani? Vidal ngoja nimtafutie mtaji wa kuchoma vitumbua
Hatuwezi kua na mchezaji anaruka ruka tu that means you are not at barca's level