Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Ndio Kinywaji gani hiko?Sex on the beach na Blue Motherfu.cker
Ndio Kinywaji gani hiko?Sex on the beach na Blue Motherfu.cker
Tumeambiwa na madaktari siku hiyo pata Tikiti maji na karanga mbichiKonyagi na Redbull ni poa siku ya Kidate....
Ndio Kinywaji gani hiko?
Hapo unazungumzia wingi wa shahawa... Red bull na Nyagi ni kwa game ndefu zaidi...Tumeambiwa na madaktari siku hiyo pata Tikiti maji na karanga mbichi
Jaribu kunywa maji ya kawaida mara kwa mara...Je kwa siye tulio adicted na Hivi Vinywaji baridi, (Sijui kwa kimombo tatizo hili linaitwaje), mnaweza kutusaidia vipi? Maana haiwezekani kupita siku bila ya kupata japo Kinywaji baridi i mean soft drink. Yaani japo soda ya sprite iliyo changanywa na maziwa fresh.
Yaani hapa hakuna kuchaguwa so long ni soft drink twende tu. Ingekuwa ni pombe mngeniita cha pombe. Lakini mimi nipo Adicted na hivi vi'soft drink na nataka kuondokana na hili tatizo. Je naweza kupata msaada au idea ya kupunguza japo kidogo. Thanx
chai ya maziwa yenye "iriki"
ha ha ha ....... hiyo ni Murra iriyokuria Marikiti au Michenzani! lol