Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Naam.. Ndio hiyo haswa..., ingawa wengine hutumia majani ya chai.. lkn ile ya asali ndio orginal.. na huifadhiwa kwenye chupa za bia...--btw, wanzuki si ndiyo ile inayotumia asali kama main ingredient... au?