Elections 2010 Fatwa ya waislamu live redio imani fm kuhusu uchaguzi mkuu

Wenzenu kutoka Yemen wanatishia usalama viwanja vyote vya ndege leo...hiyo fatwa inazuia hilo au inashabikia?
 
fatwa ndio nini mkuu?
nakumbuka ayatollah khomeini alitoa fatwah kwa salman rushdie kwa kuukashifu uislamu kupitia kitabu chake cha the satanic verses. huyo ayatollah akaamuru kichwa cha rushdie kiletwe kwake.


je fatwa ya uchaguzi mkuu inafanana na hiyo ya ayatollah kwa salman rushdie au inafananaje mkuu?


Satanic verses? Teh teh teh! Fatwa maana yake resistance against those you hate most...asikudanganye mtu
 
Ok sawasawa tunashukuru kwa kutuelewesha manake tulidhani ndio habari
ya udini inaendelea.
 
Hawa wanafiki kweli...............mwanzoni walishawaambia waislamu wasikipe kura ccm ila waipe cuf (ile taasisi chama cha wailamu) eti kwa sababu ya mahakama ya kadhi na oic..............baadaye wanasema kuna viongozi wanaleta udini.......unafiki mkubwa wa masheikh na maimamu
 
Sawa,lakini nahisi unachakachua ukweli. Jamii forums ina wanachama hata 30,000 hawafiki na wengine ni marehemu.Kwa vyovyote vile walio hai hawawezi kuwa online wote.Hivi ninavyoandika walioko online hawafiki 1500.Vijijii hawajui hata internet.
.......kwani masuala ya uislamu si ya kukurupuka.Ni mambo ya kisomi na kiutafiti.
hatuna haja ya kulumbana na wewe. Mpe asalam aleykum Mkwere
 
Sikiliza fatwa za uislamu juu ya kupiga kura kupitia redio Imani FM ya Morogoro.Kila eneo linaweza kuwa na masafa yake.Sheikh Muhammed Issa yuko hewani.
Ukikosa sasa inarudiwa rudiwa leo.

sawa tumekusikia. si tatizo kusikiliza wito tatizo lawezakuwa kwenye wito wenyewe.
kama wito wenyewe hautakuwa na busara na upendo basi itakula kwao
 
\

kumbe fatwa is not a monster pipo to fear, kama kuna news tupe tu mkuu sio lazima twende kusikiliza hiyo redio kwani tuko hapa ili kushare issues mbalimbali zilizojiri ktk maeneo mbalimbali ikiwemo vyombo vingine vya habari!


We,afadhali unaelewa mambo.
Pamoja na hivyo ukisikiliza mwenyewe utaelewa kuliko nitakavyokusimulia.Mimi nimeipenda ile habari kwamba waislamu kumbe waliwahi kumwendea mkristo kutafuta hifadhi.Nyengine kiongozi wa ngazi ya juu ya kiislamu alimshtaki kafiri fulani kwenye mahakama iliyo chini ya serikali yake kwamba amemkuta na kifaa chake.Yule kiongozi akatakiwa kutoa ushahidi akajichanganya na kweli kile kifaa kilikuwa chake,akaambiwa nenda zako!, hii mali ni ya huyu jamaa (kafiri).Ziko nyingi....
Kuhusiana na dkt.Slaa hii fatwa inatoa sura kuwa si mfano wa hao.Sasa ni vyema kusikiliza ili sauti ya bundi kwa dkt.Slaa ukaisikia mwenyewe,isije baadae ikasemmwa kuwa ameibiwa kura.
 
Back
Top Bottom