Huyu dem ndiyo maana ni msagajiYani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Huyu dem ndiyo maana ni msagajiYani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
View attachment 1768230
Hivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?
Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?
Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe
Anasemaje mzee wako juma duni wa ndembendembe kifo cha mende
Meko alishindwa na chuki zake zote zile, hakuna wakumfanya kitu, na bahati nzuri huwa hatukani, labda kama kosa lake huwa ni kusema ukweli, kutokana na uana harakati wake!!zama zile za kutishana zimekwisha jamani, kubalini tu matokeo.Huyu kuna kitu anakitafuta atakipata
Kwa maana hiyo muundo wa Serikali tatu hauepukiki. Zanzibar ni nchi inajitegemea na ipo fully autonomous maana Ina flag, Katiba yake plus wimbo wa Taifa, Tanganyika ndio haipo🤷🤷 maana ipo Serikali ya Muungano inayoitwa SJMT lakini serikali ya Jamhuri ya watu wa Tanganyika (SJWT ) ipo wapi? .Tunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Waliuweka ardhini kisha wakapanda mti juu yake
Inahitajika kwa sababu za kiusalama tu hakuna la zaidi labda kama wewe unalijua lingineUsalama gani ?hii hoja ni dhaifu sanaaaaaaa ukweli ni kwamba Zanzibar inahitajika sana katika muungano ndio maana Mwalimu Nyerere alikuwa tayari Kuzika nchi yake ya Tanganyika kwa ajili ya muungano
Wakate kwenye hayo matrilion chenji yao wapewe... kwanini Zanzibar wanalazimishwa kutumia umeme wa Tanesco badala ya kuwa na umeme wao? Je huo umeme wa Tanesco uko Pemba na Kojani?Deni la TANESCO walishalipa?
Hizo ni porojo tu za mitandaoniFatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.
Hakuna malumbano hapo walipeni pesa zaoTunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Una hakika wanalazimishwa kutumia umeme wa TANESCO?Wakate kwenye hayo matrilion chenji yao wapewe... kwanini Zanzibar wanalazimishwa kutumia umeme wa Tanesco badala ya kuwa na umeme wao? Je huo umeme wa Tanesco uko Pemba na Kojani?
Akili za wazanzibar hizo.Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
UNA HOJA NZITOHivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?
Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?
Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe