Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Kama makubaliano yanasema wapewe 4% basi wapewe. Hakuna kuleta longolongo.
Wazanzibar wanaweza kuweka umeme wa Solar na Upepo ukawatosha, TANESCO kupeleka umeme huko ni kulea uchumba wa muungano tu lakini Wazenji wanavyo vyanzo vizuri vya umeme unaowatosha maana ni nchi ndogo
Wazanzibar wanaweza kuweka umeme wa Solar na Upepo ukawatosha, TANESCO kupeleka umeme huko ni kulea uchumba wa muungano tu lakini Wazenji wanavyo vyanzo vizuri vya umeme unaowatosha maana ni nchi ndogo