Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 150
- 360
Kwa kweli ata sisi tunashindwa kuelewa tunaishi nchi ya namna gani...Tunalipa kodi za TRA lakini pia tunalipa na ZRB
Kwa wabara Mzenji hapendwi
Kwa Wazenji Mwarabu hapendwi
Serikalini asiye CCM hapendwi
Kwa wabara Mzenji hapendwi
Kwa Wazenji Mwarabu hapendwi
Serikalini asiye CCM hapendwi