Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Kwa kweli ata sisi tunashindwa kuelewa tunaishi nchi ya namna gani...Tunalipa kodi za TRA lakini pia tunalipa na ZRB

Kwa wabara Mzenji hapendwi

Kwa Wazenji Mwarabu hapendwi

Serikalini asiye CCM hapendwi
 
Fatuma ameolewa kweli huyu mdada?
Nafikiria jinsi me atakavyoishi na mutu km huyu!!
Anaweza kukunyima papuchi kwa vifingu vya sheria na ukatii!! Ole wako utie neno!!!

Hivi anavokosa mme ndo hasira zinampanda kishenzi.
Siku akimpata tu kila mtu atajua!! Yaani atakuwa mpoleeee kwa huu muungano.

Na km yupo kwa sasa mshaurini huyo mumewe aaache urojo! Asirojoke bali apige mashine mpaka iteme juu!
Nakwambia f karume atakuwa mpoleeeeeee! Km sie! Jiwe anaweza asiamini huko ahera.

Amekosa wa kumfinya na hakuna watu wajua finya km wakurya.hii minjemba ikikufinya lzm utulie....

Kimdada hakilali kutwa kucha nakwambia ni ajili ya muungano wetu tuuuuuu! !inahuuu!!
 
Fatuma ameolewa kweli huyu mdada?
Nafikiria jinsi me atakavyoishi na mutu km huyu!!
Anaweza kukunyima papuchi kwa vifingu vya sheria na ukatii!! Ole wako utie neno!!!

Hivi anavokosa mme ndo hasira zinampanda kishenzi.
Siku akimpata tu kila mtu atajua!! Yaani atakuwa mpoleeee kwa huu muungano.

Na km yupo kwa sasa mshaurini huyo mumewe aaache urojo! Asirojoke bali apige mashine mpaka iteme juu!
Nakwambia f karume atakuwa mpoleeeeeee! Km sie! Jiwe anaweza asiamini huko ahera.

Amekosa wa kumfinya na hakuna watu wajua finya km wakurya.hii minjemba ikikufinya lzm utulie....

Kimdada hakilali kutwa kucha nakwambia ni ajili ya muungano wetu tuuuuuu! !inahuuu!!

Huyo kwenye avatar ni wewe?
 
Tulia punda, mambo kama hayakuhusu achana nayo, sio kujitia kiherehere!
Bora mimi punda, wewe guluguja usiye ubongo wala uti wa mgongo.

Umebaki kulialia hapa wakati wanaume wamekuchukulia nchi yako umebaki kuwa stateless person.
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Kwenye pato la Taifa, Zanzibar inachangia asilimia ngapi?
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
anataka madaraka huyu babake alikuwa hivihivi mpaka alipopewa Urais wa Zanzibar! Ila huyu kamwe hapati ng'o! familia isiyo na shukrani!
 
Back
Top Bottom