Fatuma Karume Mwanasheria na mwanaharakati anayehubiri Demokrasia pasipo kuiishi.

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Kwa kipindi kirefu sasa mwanasheria msomi kama anavyojiita na Rais wa TLS amekuwa mkosoaji mkubwa sana kwa Rais aliyepo madarakani hasa katika eneo la Demokrasia hususani uhuru wa kujieleza na haki za binadamu ambapo amekuwa akihimiza kuhusu kuvumiliana na kuruhusu mawazo mbadala kila mara anapopata nafasi ya kuongea na vyombo vya habari pia kupitia akaunti yake ya Twitter.

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Filauni, kumbe bwana yale yote ambayo amekuwa akiwanyooshea vidole wengine yeye binafsi hayaishi kwa lugha rahisi haya ishi, kupitia ukurasa wake wa Twitter amechapisha habari ya kuwablock followers wake watakao kuwa na Mawazo mbadala!!!! najaribu kufikiria yaani ameshindw kuvumilia mawazo na hoja mbadala za followers wake 500,000 vipi angekuwa na watu 50,000,000 si angekuwa dikiteta namba moja duniani.

Hapa kuna jambo la kujifunza wadau tunapokuwa tunasikiliza wanaharakti wakitoa tuhuma mbalimbali kwa viongozi, Serikali hatupaswi kuwaamini moja kwa moja, badala yake tujipe muda wa kutafakari na kuzipima kauli zao kwa kuangalia wanayosema ndio wanayoishi au ndio ile habari ya kuhubiri amani huku umeshika Panga!!!!!!!!
IMG_1474.jpg
 
Sasa hapo tatizo ni nini maana uhuru unamruhusu!

Wewe unaona udikteta wako wa kumuamulia yeye cha kusema ni sawa na yeye udikteta wake wa kukataa unaona wako wewe ni sahihi wake yeye sio sahihi?

Mbuzi mee wewe!
 
Kwa kipindi kirefu sasa mwanasheria msomi kama anavyojiita na Rais wa TLS amekuwa mkosoaji mkubwa sana kwa Rais aliyepo madarakani hasa katika eneo la Demokrasia hususani uhuru wa kujieleza na haki za binadamu ambapo amekuwa akihimiza kuhusu kuvumiliana na kuruhusu mawazo mbadala kila mara anapopata nafasi ya kuongea na vyombo vya habari pia kupitia akaunti yake ya Twitter.

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Filauni, kumbe bwana yale yote ambayo amekuwa akiwanyooshea vidole wengine yeye binafsi hayaishi kwa lugha rahisi haya ishi, kupitia ukurasa wake wa Twitter amechapisha habari ya kuwablock followers wake watakao kuwa na Mawazo mbadala!!!! najaribu kufikiria yaani ameshindw kuvumilia mawazo na hoja mbadala za followers wake 500000 vipi angekuwa na watu 50000000 si angekuwa dikiteta namba moja duniani.

Hapa kuna jambo la kujifunza wadau tunapokuwa tunasikiliza wanaharakti wakitoa tuhuma mbalimbali kwa viongozi, Serikali hatupaswi kuwaamini moja kwa moja, badala yake tujipe muda wa kutafakari na kuzipima kauli zao kwa kuangalia wanayosema ndio wanayoishi au ndio ile habari ya kuhubiri amani huku umeshika Panga!!!!!!!!
View attachment 1049262
Ushauri, siku nyingine unapoandika namba kwa maelfu, mamilioni, jaribu kutenganisha kwa mikato. Badala ya 500000 iwe 500,000. Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye kama mdau mkubwa wa uhamasishaji wa demo anapaswa kuvumilia ili kuonesha mfano kwa wengine
Sasa hapo tatizo ni nini maana uhuru unamruhusu!

Wewe unaona udikteta wako wa kumuamulia yeye cha kusema ni sawa na yeye udikteta wake wa kukataa unaona wako wewe ni sahihi wake yeye sio sahihi?

Mbuzi mee wewe!
 
Back
Top Bottom