kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,904
Alaaaaaah kumbe. Basi arudishe favour zote alizopata Kama mjukuuu wa kiongozi dhalimu. Kama hawezi basi atoke hadharani aombe hata msamaha. Ameshakula bata kwa Kodi za maskini na aameishi maisha mazuri yanayotona na udhalimu, halafu ajifanye eti leo ndiyo mwema.
Ni MTU mwema ndiyo kwasababu hakushiriki udhalimu huo!Ni upuuzi kumuhukumu kwa makosa ya Babu yake na viongozi wa CCM!
Juzi tu hapa Mzee Amani amehojiwa kuhusu Fatma kuwa kinyume na serikali ya CCM,Mzee akasema huwezi kuingilia maamuzi ya Fatma kwani ni mtu mzima na anayo haki ya kufanya atakacho!
Sasa kumtwisha zigo si sawa,ni sawa leo tuanze kutafuta watoto Wa JPM na tuwahukumu kwa vitendo viovu vya baba yao,si sawa!