Fatuma Karume kumfananisha Rais na kinyago ni sahihi?

Mtoa post ni mchochezi,hadi kwenye maneno ya wahenga unaleta chokochoko? U better shut up if u gotta nothn to say
 
Ubashite unakusumbua ww mleta mada,sifuri ya yako ya kwebye makaratasi unaiamishia kwenye kufikiri na utendaji
 
umesahau ishu ya muungano pia wazanzibar hawatamuelewa

Afu naona sasa kuna mambo mengine yanafanywa kumjazaa upepo mkulu mfano hili tu umejiuliza kwanin sasa fatma karume ameamua kumtetea lissu( japo najua ni kaz yake kama wakili ) na sio kibatala tena

Kuna mchezo unachezwa behind

Jitu dhalili linalojiona jalili kama Magufuli, katika "mind games" za siasa za kuendesha nchi, ni rahisi sana kulichezea mchezo wa kulikasirisha likafura halafu katika kufura kwake, likaharibu kazi.

Ndiyo mchezo unaochezwa na Tundu Lissu pamoja na Fatma Karume hapa.
 
Lugha ya picha tu hiyo, don't get sore..
Ila wakili naona angestick kwenye technicalities za kesi zaidi, kama mahakama au polisi wamemuoneaje mteja wake.

mambo ya Magufuli aachane nayo, maana mambo yalivyo nae tutashangaa mkuu wa wilaya ameagiza kesho akamatwe kwa kumkashifu rais
Sijui utakuwa mzuri kama comment zako
 
Akizunguzma na waandishi wa wahabari mahakamani Kisutu, Fatuma Karume kasema kuna msemo wa kiswahili unaosema kuwa " kinyago ulichochonga mwenyewe hakitakiwi kukusumbua"

AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.

Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?

Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.

Ushahidi huo hapo


Ndiyo ni Kinyago tulichokichonga wenyewe wakati wa uchaguzi! Hakiwezi kututisha kwa sababu ni mali na kazi za kura zetu!!
 
Kwa mtazamo wangu naona sio kosa ule ni mfano ambayo hata kwenye mitaala yetu ya elimu bado tunaitumia kama vile mf: zimwi likujualo halikuli ukakwisha, Na kama ingekuwa ni mifano/methali mbaya zisinge wekwa kwenye mashule yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akizunguzma na waandishi wa wahabari mahakamani Kisutu, Fatuma Karume kasema kuna msemo wa kiswahili unaosema kuwa " kinyago ulichochonga mwenyewe hakitakiwi kukusumbua"

AKAENDELEA kusema kuwa Rais MAGUFULI sisi ndio tuliomchagua na kumuweka.

Kwa hiyo anamfananisha Rais na kinyago cha kuchonga kuwa wananchi ndio waliochonga hicho kinyago?

Huyu MZANZIBARI kwenye hicho alichoongea inabidi achukuliwe hatua sio sawa.

Ushahidi huo hapo


Ni namashaka na ubongo wako mnama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom