Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwa wale walio kuwa wanambeza na kutuaminisha kuwa Rais wa chama cha wana sheria nchini TLS ni dhaifu sasa wajipange kufuta jasho la damu na kuficha uso wao kwa aibu
Taasisi mbali mbali kumsifia na kumwagia sifa lukuki hasa wanasheria ambao wanasifu utendaji wake wa kazi hasa kuwaunganisha na kuwatetea walio kuwa na uhitaji huo wa kisheria
In God we Trust
Taasisi mbali mbali kumsifia na kumwagia sifa lukuki hasa wanasheria ambao wanasifu utendaji wake wa kazi hasa kuwaunganisha na kuwatetea walio kuwa na uhitaji huo wa kisheria
In God we Trust