johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Wakili msomi Fatma Karume ametoa rai kwa waumini wa dini ya Kikristo kutokubali kugawanywa na Shehe wa Dar es salaam alhad Mussa Salumu ambaye anawapangia wepi ni maaskofu wa kweli kweli.
Karume anasema Wakristo msiukubali huo mtego wa Divide and Rule.
Mungu ni mwema wakati wote!
Karume anasema Wakristo msiukubali huo mtego wa Divide and Rule.
Mungu ni mwema wakati wote!