Hayuko sahihi Kisheria sababu Sheria za Tanzania haziruhusu.Ila mtashangaa kwa nini kakomalia ni kuwa hela za mashoga keshapewa huyo ili autetee ushoga at a fee.Kwa muda mrefu wamekuwa wakiwinda wabunge , NGO,Viongozi wa dini , Waandishi wa habari Na watu influential kwenye jamii ili wawaunge mkono wa push agenda yao ya kuharibu nchi kupitia ushoga.Hatimaye wamempata mtu wa kumhonga a push hiyo agenda Fatuma Karume Raisi wa TLS.Hivi TLS kama Chama kwa nini msiitishe extra ordinary meeting mumutimue ? TLS mbona munaonekana so weak kama Chama ? Huyu Raisi wenu kwanza kwa matamko makubwa kama hayo alitakiwa aiitishe mkutano mkuu wa dharura utoe tamko la pamoja Na umtume.Anatumia ofisi ya TLS kuinajisi ionekane mbele za wananchi kama Chama tu cha mashoga wanasheria Na waliompiga kura mashoga
Alimshauri privately,na hana jukumu la kukuambia limesaidia vipi!Kila kitu uambiwe wewe nani?Anasema hakumkosoa Baba yake sababu alikuwa ana fursa ya kumshauri privately! Je ushauri wake ulisaidia nini kwenye utawala wa baba yake?
Ndio maana Rais alitaka wakili anayetetea ujinga naye afungwe!! Mnameza maelimu machafu ya ulaya mnashindwa kuchuja kiasi mnatetea upuuzi,katafuteni nchi yenu muishi kihivyo hapa hatutaki ushenzi.
Watapimwa marinda!! Hatutaki ushenziReally?
Are you this low?
Huwezi toa amri ya witch hunting ya wanadamu na kuwaadhibu sababu tu wewe unahisi ni gays kwa eti kutembea tofauti au kuongea tofauti au kwa mtu kutaja jina tu...Is this the way of dispensing haki?
Huwezi prove mtu ni gay kwa kumuangalia anavyotembea au anavyoongea,ni upumbavu wa hali ya juu....Lazima tu-establish definition ya nani ni gay na ku-prove beyond doubt kua ni gay na sio witch hunting kama unawinda mbuzi pori...hii ni ethnic cleansing sio proper way ya kutoa haki...
Yaani Makonda awe mkamataji,mshitaki na mtoa hukumu kwa proof eti fulani kataja jina mtu...are we in the dark ages in the medieval times karne ya 7 huko?
Sasa jamaa yako alikurupuka akasema mtu anaetembea kama amekatwa centre bolt au anaetajwa tu na mtu yeyote basi anamuadhibu..Watapimwa marinda!! Hatutaki ushenzi
Vita dhidi ya mambo yanayofanyika faragha ni ngumu sanaaaaaa hii michezo ipo kitambo tangu enzi za mitume huko kabla miaka na miaka
ANAITWA JAJI BASHITE.Really?
Are you this low?
Huwezi toa amri ya witch hunting ya wanadamu na kuwaadhibu sababu tu wewe unahisi ni gays kwa eti kutembea tofauti au kuongea tofauti au kwa mtu kutaja jina tu...Is this the way of dispensing haki?
Huwezi prove mtu ni gay kwa kumuangalia anavyotembea au anavyoongea,ni upumbavu wa hali ya juu....Lazima tu-establish definition ya nani ni gay na ku-prove beyond doubt kua ni gay na sio witch hunting kama unawinda mbuzi pori...hii ni ethnic cleansing sio proper way ya kutoa haki...
Yaani Makonda awe mkamataji,mshitaki na mtoa hukumu kwa proof eti fulani kataja jina mtu...are we in the dark ages in the medieval times karne ya 7 huko?
KWAHIYO HUYO JAJI BASHITE ATAKUWA ANATEMBEA MITAANI ANAKAMATA KILA MTU ANAYEHISI NI SHOGA ILI AKAPIMWE MARINDA??Watapimwa marinda!! Hatutaki ushenzi
Yeye ninmwanasheria !anafanya kazi yake .je pale mawakili wanapowatetea majambazi noa wanakuwa majambazi au wanasapot ujambazi?Bora umeongea na tumekujua kuwa wewe ni lesb bi mkubwa. Ni dini yako pia inaruhusu hayo?
Huko Uk huo ushoga ndio balaa toto laweza kurudi punga ukashangaa mwenyeweWewe, uko sawa... Ushoga hapa Bongo haukuathiri: watoto wako wako UK, wanasoma kings and queens academy, wanapata the best education... Wakimaliza, wanabaki huko2, watakuja hapa wakiwa 40 years kugombea urais. Unashida gani mama!?
Hii Vita n yetu wanyonge... Mnataka kututawala milele, watoto wetu wawe mateja, wakwenu wapete! Bravo mama!
KWANI SI WANATUMIA MIILI YAO NA KWA RIDHAA YAO NA UTASHI WAO?Duuuuu tujaribu Kulinda utamaduni wetu mwanamke kabisa km Fatma kusema hadharani wanaume kufanywa na wanawake kuingiliwa kinyume ni halali
Her statements and stance on homosexuality tells a lot on her background.Sio bure.There is a serious problem on her background with regards to homosexuality.