Na ndiyo maana ukaitwa shangazi.Kumbe ndiyo ulivyo ?
Kuishi kwingi kuona mengi
Na vilevile familia yake inayoheshimika sana nchi hii.Kisheria yuko sawa ila atademage image yake na chama chake
Huu mchezo atakuwa ana ucheza na kauzoea kwaiyo anashangaa kosa lipo wapi mbona yeye anaenjoy sana tu kwaiyo anashangaa
Hamna sheria yeyote inayomtaka mtoto anapozaliwa aaziniwe nenda kasome vuzuri mkuuHuyu alipozaliwa hakuadhiniwa...
Wewe, uko sawa... Ushoga hapa Bongo haukuathiri: watoto wako wako UK, wanasoma kings and queens academy, wanapata the best education... Wakimaliza, wanabaki huko2, watakuja hapa wakiwa 40 years kugombea urais. Unashida gani mama!?