Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,891
- 33,450
Magufuli si kafa?Hii nchi ina fit sana kwenye hiyo narrative ya shangazi. Magufuli ameacha sifa mbaya sana kufuatia vitendo vyake vya kidhalimu dhidi ya wananchi wasio na hatia.
Anyway, acheni Mungu aitwe Mungu.