datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 856
- 957
unaweza kuyangamiza nchi?Aise kwa nini msifiche ujinga wenu. Kwa hiyo hii nchi imekuwa ya kuwindana na kuuana. Si bora basi nchi iangamizwe mana tunaongozwa na washenzi na matapeli
Acha kuwashwa.
unaweza kuyangamiza nchi?Aise kwa nini msifiche ujinga wenu. Kwa hiyo hii nchi imekuwa ya kuwindana na kuuana. Si bora basi nchi iangamizwe mana tunaongozwa na washenzi na matapeli
Mwambie baba yake arushe mali za wazanzibar alizojimilikisha na kuwapa hao watoto wake akiwepo huyoo mwanamkee..kisha ndo akujee huku"Nchi isiyeheshimu HAKI za Msingi za Binadamu ni Nchi ya Kishenzi tu. Mnauwa watu, mnawapiga watu visu na risasi, mnateka wenzenu, mnawafunga wenzenu bila ya kufuata utaratibu halafu mnakereka mkiitwa Washenzi? Mlitaka muitwe nini? Waungwana? Jifunzeni UUNGWANA!"- Fatma Karume
(“USHENZI” kwa English ni “BARBARISM”. Kama hamtaki kuitwa “BARBARIANS” ishini na wenzeno kwa UUNGWANA. CCM walofika kutamka BUNGENI kuwa Zitto anafaa KUUWAWA? Ni USHENZI tu. Nani kawapa MAMLAKA ya kuamuwa MTZ yupi atolewe ROHO? “BARBARISM”- USHENZI ) - Fatma Karume
"Na tukisema Kheri James, Mwenyekiti wa UVCC ni BARBARIC, mtakataa? Kweli MUUNGWANA anasimama mbele za UMATI wa Watu na kutamba na kupanga vipi atamuuwa mwenzake? USHENZI tu! Na bado kapewa KAZI ya UMMA!"- Fatma Karume
Tatizo sio katiba bali huo ndio utamaduni wetu, ni lini hata huko upinzani umeona wanakosoana kwenye vyama? mtu mpaka ahame chama ndio anaongea makosa ya viongozi na chama.Katiba yetu mbovu sana. Inawageuza viongozi kuwa ma miunguwatu wasiokosolewa wala kushtakiwa popote.
Mpaka kina Ndugai nao hawawezi kushtakiwa . Si ajabu analiburuza Bunge anavyotaka
Vyama vya upinzani vina katiba mbovu na utamaduni mbovu, kwa sababu ya katiba mama ya nchi. Katiba kuu ya nchi ilitakiwa kutoa miongozo na miiko ya uongozi nchini .Tatizo sio katiba bali huo ndio utamaduni wetu, we lini hata huko upinzani wanakosoana kwenye vyama? mtu mpaka ahame chama ndio anaongea makosa ya viongozi na chama.
Mkishakuwa na utamaduni mbovu hayo mengine mengine yote hayawezi kuwa sawa.Vyama vya upinzani vina katiba mbovu na utamaduni mbovu, kwa sababu ya katiba mama ya nchi. Katiba kuu ya nchi ilitakiwa kutoa miongozo na miiko ya uongozi nchini .
Mshenzi alikuwa babu yake akiyechinja waarabu na kuwalazimisha waolewe na wanyasa kwa nguvu."Nchi isiyeheshimu HAKI za Msingi za Binadamu ni Nchi ya Kishenzi tu. Mnauwa watu, mnawapiga watu visu na risasi, mnateka wenzenu, mnawafunga wenzenu bila ya kufuata utaratibu halafu mnakereka mkiitwa Washenzi? Mlitaka muitwe nini? Waungwana? Jifunzeni UUNGWANA!"- Fatma Karume
(“USHENZI” kwa English ni “BARBARISM”. Kama hamtaki kuitwa “BARBARIANS” ishini na wenzeno kwa UUNGWANA. CCM walofika kutamka BUNGENI kuwa Zitto anafaa KUUWAWA? Ni USHENZI tu. Nani kawapa MAMLAKA ya kuamuwa MTZ yupi atolewe ROHO? “BARBARISM”- USHENZI ) - Fatma Karume
"Na tukisema Kheri James, Mwenyekiti wa UVCC ni BARBARIC, mtakataa? Kweli MUUNGWANA anasimama mbele za UMATI wa Watu na kutamba na kupanga vipi atamuuwa mwenzake? USHENZI tu! Na bado kapewa KAZI ya UMMA!"- Fatma Karume
Nchi ya kishenzi maana yake ni nchi yenye tabia za kishenzi..... Tujiulize hapo kwanza.nakubaliana na wewe mimi pia wewe na watanzania wote ni washenzi
Hiyo sio maana halisi ya ushenzi, ulichokielezea hapo juu ni maana ya neno UPUMBAVU. Neno ushenzi asili yake halisi ni katika maswala ya utawala wa kikoloni (haswa waarabu), ndo kulitumika maneno kama WATWANA & WASHENZI.Ushenzi ni Stupidity au foolishness na sio BARNARISM
Ukimwita binti unampa sifa asiyoistahili, huyu ni bibi hata kama hana mjukuu!! Kwa umri wake alipaswa kujiheshimu sana! Matusi si njia ya kiungwana ya kuwasilisha hoja na malalamiko aliyo nayo!! Huyu bibi si mwungwana hata kidogo! Anaiaibisha sana familia ya Karume!! Ingewezekana azuiwe kutumia jina LA Karume!Huyu bint anatapatapa sana!
Alhaj Bulembo ni baba mkwe wa Zitto Kabwe.
Ndugai aonje jela kwa sheria ya katiba ipi?Ndugai lazima atajuja onja jela walahi naapa
Rudia kusoma utamuelewa....!!Huyo changudoa sijawahi kumuelewa kabisa.
Washenzi wa TaifaKweli kabisa
Tena ni washenzi haswaa
ninachojua MaCCM wote ni washenzi wa Taifa , hata Shangazi ametukumbusha.Laiti ungejua maana ya mshenzi usingekubali kujitukana kizembe hivyo,au labda haujui chimbuko la hilo neno?
Kwa hapa Tz,washenzi ni CHADEMA mbele ya maboss zao CCM.