Fatma Karume na kesi yake wakurugenzi kutosimamia uchaguzi ni kazi bure

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,412
7,194
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa.
Wewe ni mjinga! Rudi shule!
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa.
Hujui lolote iacheni Mahakama ifanye kazi yake wewe ndio unajua kutafsiri sheria zaidi ya mahakama?
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa.
hivi watanzania ni nani aliyewawekea funza kwenye ubongo??
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa.
Yaani hata maana yake hujui unakuja na ngonjera!
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
Mimi sio mwanasheria ila kwa hiki ulichoandika kinakataza wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi, hebu kisome kwa utulivu " Nimecheka kweli kweli"
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
Wee jamaa umetoa kali ya mwaka, yaani kama vile sheria inatungwa kukataza wizi ila wezi waliokuwepo kabla ya sheria hii hawahusiki na katazo hili bali wanaotaka kuanza wizi ndio wanakatazwa na sheria hii ni kwa mujibu wa tafsiri yako kwa sheria husika!, kazi kweli kweli
 
Mleta mada huna lolote kama una maslahi basi mmeangukia pua maana swala hili ni la kikatiba ukivunja katiba ni kosa la jinai!!
Mlizoea kutawala kwa dhuruma watu wamefunguka, mwisho wenu umefika.
Mungu mkubwa!!
 
Wee jamaa umetoa kali ya mwaka, yaani kama vile sheria inatungwa kukataza wizi ila wezi waliokuwepo kabla ya sheria hii hawahusiki na katazo hili bali wanaotaka kuanza wizi ndio wanakatazwa na sheria hii ni kwa mujibu wa tafsiri yako kwa sheria husika!, kazi kweli kweli
Nikichoandika mwanasheria ataelewa ila nyumbu na kasuku na mtu kama wewe huwezi elewa.
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
Kaz ya ibilisi ka wew ni kutia watu hofu na kuwakatisha tamaa
 
Nikichoandika mwanasheria ataelewa ila nyumbu na kasuku na mtu kama wewe huwezi elewa.
Wanasheria si ndiyo waliobishana mahakamani wee matokeo tukaambiwa wakurugenzi hawafai ni uvunjaji wa katib au unaxungumzia wanasheria gani mkuu
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
Nisaidieni jamani nimepitia huu uzi nimerudia tena lakini bado sijakuelewa mtoa mada. Sijui anataka kusema nn?
 
Kwanza haki ya kujiunga au kutokujiunga na chama cha siasa ni ya kila raia. Ukisoma kifunfu 74 cha katiba utaona uteuzi kwenye tume ya uchaguzi uko wazi kwa kila raia mwenye sifa awe mwanachama au asiwe mwanachama wa chama cha siasa.. ukienda kifungu 74(3)(d) ndio utaona kumewekwa marufuku kwa kiongozi wa chama cha siasa wala sio mwanachama wa kawaida.
Ukienda kifungu 74(14) kinasomeka hivi 'Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chchote cha siasa, isipokua tu kwamba kila mmoja wao atakua na haki ya kupiga kura..' hii ina maana gan? Wakati ukiiwa kwenye tume au unahusika na uchaguzi kama hukuwahi kujiunga kwenye chama cha siasa ndio ni marufuku kujiunga na chama cha siasa..au kwa wale ambao ni wanachsma ni marufuku kujiunga na chama kingine.
Sali sana Mwombe Mungu akujalie afya njema ya Akili.
 
Back
Top Bottom