damper
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 766
- 827
Tunaweka chuma kingine tena. nyie mtakuwa wakulia tu mpaka mwisho wa dunia.MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaweka chuma kingine tena. nyie mtakuwa wakulia tu mpaka mwisho wa dunia.MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Unajua maana ya Tanzania wewe?Acha uzuzu Samia ni Mzanzibari pure huwezi mtoa huko kwa mapenzi yako binafsi, kwani Mwinyi ni raisi wa wapi? Mbona husemi ni raisi wa Tanzania?
Kaongea ukweliSentensi ya mwisho umevuruga yote uliyoyaandika
Acha kukariri ujinga, haki gani mnayoitafuta ?Tusubiri tuone! Haki haijawahi kupotea, inachelewa tu.
Hivi lile vazi la Red brigade, Isike aliwahi kulivaa wakati wa Magufuri ?Wote akili zenu kama Mbowe tu, Div 0. Mbowe kajiona mbabe na kuanza kuzunguka nchi nzima kumdharau mh. Rais sbb ameona ni mwanamke kaona hamfanyi kitu, sasa atanyea debe hadi anyooke. Sasa mnapiga makelele mitandaoni, mfuateni msaidieni, nendeni, makamanda feki mmebakia mitandaoni tu, nendeni mkamsaidie. Sasa case yake inakuja kali sana, makamanda feki nendeni, acheni kuongea tu mitandaoni, mnajifunza ugaidi, miaka 100 jela pumbaf
Kwani KATIBA ni Haki au Hisani?
Ikitokea tena Mpango juu ya kitiSIO KILA MTU ANAWEZA KUONGOZA TAIFA! SHINIKIZO LA KATIBA LILIFANYE AWE RAIS MRITHI! HVYO TUVUMILIE TUU JAMN, ILA NAAMINI NYUMA YA PAZIA
Kwa africa huwezi kuongoza ukawa mwema... ...Munamuoverrate sana huyo Mama
Karume, Salmini, Nyerere, Jiwe, Shein, Hawa watu wametawala kishenzi sana kwenye hii nchi, huyo mama hajafikia hata 25% yao.
ASHUKE MASIHA KUTUONGOZA..Ikitokea tena Mpango juu ya kiti
Nahitaji mke wa kuoa, awe ni Mzanzibar umri miaka 40 na kuendelea. Wanawake wa Kizanzibar wengi wao ni watu wakarimu ukiondoa wachache waliokengeuka kutokana na depression za kutokuwa na Waume kwa muda mrefu. Hali hii si kwamba inawafanya wajichukie wao wenyewe, bali hujikuta wanawachukia na wanawake wenzao, ni tatizo la Psychology.
Mwamba hilo hitimisho lako limejishindia tuzo ya dhahabu toka kwangu. Magnificent.Fatuma nae ni mnafiki tu...
Babu yake, alikuwa dikteta tu!!
Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!
Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!
Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.
So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!
Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Dah!Tatizo polisi wakiamua kufanya kitu hana uwezo wa kuwazuia, mama anatakiwa aweke IGP wake.
Wananchi walilalamika sana kuhusu Jiwe na Mungu akatenda, sasa wameanza kwa mama, sijui itakuwajeMungu unajua ni wako ww tu, Mungu ndio anamtenda Mbowe sasa kama hujui ni Mungu huyo.. Mungu anampa funzo Mbowe, na ww follower wa Div 0 mfuate msaidie, miaka 100 jela, pumbaf
! Jiwe kwa jiwe, nondo kwa nondo!Sasa anaona aibu ya nini kisa Samia Mzanzibari?.
Sidhani kama umeelewa ulichoandika. Haahahh eti wew ndiye mtetez wa ccm, kweli ccm ina mapopoma mengiHakuna ms.enge yeyote wa Chadema atakayekwenda kumkomboa Mbowe, watabaki wanahaha tu mitandaoni kwani wanajuwa wakifanya kinyume na hapo nao wanakwenda kuolewa jela na kunyea ndoo. Sitoshangaa kwa wanaharakati wa Tanzania kuanza kumkashifu Mbowe kwa sababu wanajuwa anakwenda kuolewa jela, tuna wanaharakati wapuuzi sana hapa nchini kwetu. Jana eti Lissu anawaamasisha wananchi wa Mwanza waingie mtaani kuandamana kudai katiba wakati yeye yuko Ulaya anabinywa pumbu na wazungu, kama siyo usenge huu ni nini? Kama kweli yeye ni mwanamme haswa, kwanini asirudi hapa Tanzania kuja kuandamana na wananchi wa Mwanza?
So Mbowe aliwa time polisWapigie simu uwaulize, utakua uneamua kuwa mpumbavu kwa hiari yako, hujasikia taarifa ya polisi kuwa mbowe alikua na taarifa atatakiwa muda wowote akaitumia fursa ya kujihusisha na kongamano ionekane
hivi umemsikiliza mtu wa polisi alihosema kuhusu mbowe kufanya timing? Wewe endelea na upumbavu wako wa kuzaliwa. Sina cha kukuambia...
MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.