Fatma Karume: Kwa mara ya kwanza naona aibu kuwa Mzanzibari

Wote akili zenu kama Mbowe tu, Div 0. Mbowe kajiona mbabe na kuanza kuzunguka nchi nzima kumdharau mh. Rais sbb ameona ni mwanamke kaona hamfanyi kitu, sasa atanyea debe hadi anyooke. Sasa mnapiga makelele mitandaoni, mfuateni msaidieni, nendeni, makamanda feki mmebakia mitandaoni tu, nendeni mkamsaidie. Sasa case yake inakuja kali sana, makamanda feki nendeni, acheni kuongea tu mitandaoni, mnajifunza ugaidi, miaka 100 jela pumbaf
Hivi lile vazi la Red brigade, Isike aliwahi kulivaa wakati wa Magufuri ?

Anataka kumchimba mother mkwala mbuzi.

Wanaume walikuwa wanamcheki tu, wakamnyakua juu ya mbususu hata mzigo ajashusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munamuoverrate sana huyo Mama

Karume, Salmini, Nyerere, Jiwe, Shein, Hawa watu wametawala kishenzi sana kwenye hii nchi, huyo mama hajafikia hata 25% yao.
 
Mama hana sauti ndio maana hata kwenye baraza la mawaziri ameacha yale matakata ya màgufool
 
Munamuoverrate sana huyo Mama

Karume, Salmini, Nyerere, Jiwe, Shein, Hawa watu wametawala kishenzi sana kwenye hii nchi, huyo mama hajafikia hata 25% yao.
Kwa africa huwezi kuongoza ukawa mwema... ...

Hata wananchi nao wapo washenzi vilevile
..
 
Mama hata wanawake wenzake wanamshangaa

View attachment 1864073
Nahitaji mke wa kuoa, awe ni Mzanzibar umri miaka 40 na kuendelea. Wanawake wa Kizanzibar wengi wao ni watu wakarimu ukiondoa wachache waliokengeuka kutokana na depression za kutokuwa na Waume kwa muda mrefu. Hali hii si kwamba inawafanya wajichukie wao wenyewe, bali hujikuta wanawachukia na wanawake wenzao, ni tatizo la Psychology.

Hivyo, bado natafuta mwanamke wa Kizanzibar ambaye hajakengeuka, Nina Imani wapo.
 
Fatuma nae ni mnafiki tu...

Babu yake, alikuwa dikteta tu!!

Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!

Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!

Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.

So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!

Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!
Mwamba hilo hitimisho lako limejishindia tuzo ya dhahabu toka kwangu. Magnificent.
 
Mungu unajua ni wako ww tu, Mungu ndio anamtenda Mbowe sasa kama hujui ni Mungu huyo.. Mungu anampa funzo Mbowe, na ww follower wa Div 0 mfuate msaidie, miaka 100 jela, pumbaf
Wananchi walilalamika sana kuhusu Jiwe na Mungu akatenda, sasa wameanza kwa mama, sijui itakuwaje
 
Hakuna ms.enge yeyote wa Chadema atakayekwenda kumkomboa Mbowe, watabaki wanahaha tu mitandaoni kwani wanajuwa wakifanya kinyume na hapo nao wanakwenda kuolewa jela na kunyea ndoo. Sitoshangaa kwa wanaharakati wa Tanzania kuanza kumkashifu Mbowe kwa sababu wanajuwa anakwenda kuolewa jela, tuna wanaharakati wapuuzi sana hapa nchini kwetu. Jana eti Lissu anawaamasisha wananchi wa Mwanza waingie mtaani kuandamana kudai katiba wakati yeye yuko Ulaya anabinywa pumbu na wazungu, kama siyo usenge huu ni nini? Kama kweli yeye ni mwanamme haswa, kwanini asirudi hapa Tanzania kuja kuandamana na wananchi wa Mwanza?
Sidhani kama umeelewa ulichoandika. Haahahh eti wew ndiye mtetez wa ccm, kweli ccm ina mapopoma mengi
 
Wapigie simu uwaulize, utakua uneamua kuwa mpumbavu kwa hiari yako, hujasikia taarifa ya polisi kuwa mbowe alikua na taarifa atatakiwa muda wowote akaitumia fursa ya kujihusisha na kongamano ionekane

hivi umemsikiliza mtu wa polisi alihosema kuhusu mbowe kufanya timing? Wewe endelea na upumbavu wako wa kuzaliwa. Sina cha kukuambia...
So Mbowe aliwa time polis
 
Back
Top Bottom