Kwa maana hiyo Rais JPM sio Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania ?Jecha ni mzanzibari sio mtanzania bara tukome watu wa bara.Alipofuta mzanzibari mwenzao sisi bara tulikaa kimya maana ni mambo yao na nchi yao wako huru kujipigia kura au kufuta uchaguzi hata matokeo yao.