Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,935
- 6,844
Nimesema una imply, sijasema umesema. Kuna tofauti. Kwa kusema " si vingi sana " ina maanisha ni vingi au vichache. Sitaki kuamini kama ungesema kuwa watu wasichanjwe kwa lazima wakati watu wanakufa kwa wingi. Kilichobaki ni "vifo vichache".Wapi nimeandika vichache? Una bias yako kichwani inakufanya ushindwe kusoma kwa ufahamu, mtu akiandika "si vingi sana" unasoma vichache.
Hujui kwamba inawezekana vikawa si vingi sana wala si vichache.
Wewe unashindwa kusoma kwa ufahamu, unaona extremes tu, kwamba "kama si vingi sana, basi ni vichache".
This is logical non sequitur.
Nakwambia hivi, maadili ya kitabibu yanakataza kulazimisha chanjo, ndiyo maana chanjo zina consent.Tena si chanjo tu, hata medical procedures kubwa zozote.
Kwa nini unataka kupingana na ethics za utabibu?
Wakati wa vita, hayo maadili unayozungumzia yanawekwa pembeni. Ni kama vile wakati wa amani ni hiari kujiunga na jeshi lakini wakati wa vita hiyo hiari inawekwa pembeni. Hii ni vita na sio suala la masihara.
Tutakapo pata herd immunity ndio mambo ya hiari yarudi. Kabla ya hapo wachanjwe tuu, wapende wasipende.
Amandla...