Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

Mkuu ni nani uliyewahi kusema anajua sheria pindi anapokuwa mwiba kwa serikali? Tukubali tukae, ni kweli Fatuma anaweza kuwa na mapungufu yake hilo halina mjadala, lakini ni ukweli usioacha shaka mahakama kwa sasa zinafanya kazi kwa kufuata utashi wa ikulu. Jambo hili limezigeuza mahakama zetu kutoka nje ya kazi zao, na kugeuka kuwa chombo cha kukomoa wote wasioafikiana na mwenendo wa serikali. Ni nadra sana sasa hivi kesi yoyote yenye mkono wa ikulu kutoa maamuzi ya haki zaidi ya kuiridhisha ikulu.
Naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
View attachment 1213393
Huyu Judge Eliezer Feleshi sasa anaanza kujizolea sifa ya ukibaka wa sheria.

Hatua yake ya kumpiga marufuku mwanasheria Fatma Karume kiukweli imemuondolea hadhi ya kuitwa Judge.

Kimsingi alichofanya ni ukibaka, na hakuna njia rahisi kulielezea hilo.

It is presumed nobody is above the Law.
Fatma alikuwa akimuwakilisha kisheria ndugu Addo Shaibu aliyekuwa aki challenge uteuzi wa Prof Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu(Attorney General).

Sasa hapo kuna nini cha ajabu?

Kumpiga marufuku mtu kwa kufanya kazi yake inayompatia riziki ni ukibaka.
Hivi kichwa chako Hakina uwezo wa kutambua msingi wa kusimamishwa kwa huyu wakili au umeamua kukosea adabu Jaji Feleshi.
Hajasimamishwa kwa kumuwakilsha ado bali ni ukosefu wa maadili ya uwakili kwa mujibu wa taratibu za kazi hiyo.
Kalikoroga atalinywa mwenyewe
 
Mahakama itatenda haki iwapo tu mpinzani wa serikali atashinda. Hizi ndio akili za upinzani, hawafikirii walikosea wapi ili wajirekebishe wao ni kulalamika kama mbwa koko.
Acha ujinga wapinzani hawakosei popote wapo vizuri ndiyo maana kwa ubabe wenu mkaamua kupiga marufuku mikutano ya siasa kinyume cha katiba na Sheria na bado mkaona haitoshi mkaanza kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali na sasa hata mikutano ya ndani uzundizi wa miladi mnawaingilia, Mahakama ikitenda haki kwa mpinzani huyo Hakimu au jaji huandamwa na vimemo au hata kuhamishwa kwenda mbali, mahakama haipo huru kwenye utawala huu wako usiotaka kuona wapinzani Nchini.
 
Hivi kichwa chako Hakina uwezo wa kutambua msingi wa kusimamishwa kwa huyu wakili au umeamua kukosea adabu Jaji Feleshi.
Hajasimamishwa kwa kumuwakilsha ado bali ni ukosefu wa maadili ya uwakili kwa mujibu wa taratibu za kazi hiyo.
Kalikoroga atalinywa mwenyewe
Basically you guys are stupid.
Si lazima niwe mwanasheria kutambua ukilaza.
Basis ya sheria lazima iwe logic.
 
Kwa ufupi tu inaonekana hujui chochote kuhusu sheria na taratibu za uendeshaji mashauri. Judge kiongozi alichofanya kiko katika Mamlaka yake, tena from the Advocate Act, huyu Bibi kizee alikuwa Rais TLS muda mchache uliopita anajua fika Wakili anayejielewa hawezi kuweka mipasho kwenye submission, something to be submitted before a Court of Law!

Uko sahihi, japo hizo mahakama zimejipunguzia credibility zenyewe. Iwe iwavyo ukweli uko wazi kwa sasa mahakamani haki inatolewa kwa double standard. Udhaifu ulio kwenye serikali na ufa wa siasa umehamishiwa mahakamani, na sababu hasa ni madaraka makubwa ya rais yasiyo na tija kupitia katiba outdated.
 
View attachment 1213393
Huyu Judge Eliezer Feleshi sasa anaanza kujizolea sifa ya ukibaka wa sheria.

Hatua yake ya kumpiga marufuku mwanasheria Fatma Karume kiukweli imemuondolea hadhi ya kuitwa Judge.

Kimsingi alichofanya ni ukibaka, na hakuna njia rahisi kulielezea hilo.

It is presumed nobody is above the Law.
Fatma alikuwa akimuwakilisha kisheria ndugu Addo Shaibu aliyekuwa aki challenge uteuzi wa Prof Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu(Attorney General).

Sasa hapo kuna nini cha ajabu?

Kumpiga marufuku mtu kwa kufanya kazi yake inayompatia riziki ni ukibaka.
Sasa tunaingia rasmi chimbo kutaka PhD ya Elieza Fereshi ichunguzwe , Thesis yake haijaonekana popote , liwalo na liwe !
 
Msijali
Screenshot_20190922-140427.jpeg
 
Man; you just hit nail in the coffin!

Mambo ya uanaharakati anayapeleka mahakamani! Hajui kuwa kwenye sheria every word makes different and has impact on submission

Hizo mahakama zetu zingekuwa na weledi huo, hata wawekezaji wangeweza kuzitumia, lakini hizo mahakama zinazotii amri toka juu zitabaki kutumika na wanasiasa wenye madaraka kuwakomoa wote wasiowasujidia.
 
View attachment 1213393
Huyu Judge Eliezer Feleshi sasa anaanza kujizolea sifa ya ukibaka wa sheria.

Hatua yake ya kumpiga marufuku mwanasheria Fatma Karume kiukweli imemuondolea hadhi ya kuitwa Judge.

Kimsingi alichofanya ni ukibaka, na hakuna njia rahisi kulielezea hilo.

It is presumed nobody is above the Law.
Fatma alikuwa akimuwakilisha kisheria ndugu Addo Shaibu aliyekuwa aki challenge uteuzi wa Prof Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu(Attorney General).

Sasa hapo kuna nini cha ajabu?

Kumpiga marufuku mtu kwa kufanya kazi yake inayompatia riziki ni ukibaka.
Wewe ni mwanasheria kweli?kama sivyo kaa kimya!!ni hivi :jaji yeyote anaweza kufungia wakati wowote pale anapohisi kuwa mwanasheria anavunja au anaidhalilisha mahakama au anaidharau mahakama au hamtendei haki mahakama au mteja wake.
 
View attachment 1213393
Huyu Judge Eliezer Feleshi sasa anaanza kujizolea sifa ya ukibaka wa sheria.

Hatua yake ya kumpiga marufuku mwanasheria Fatma Karume kiukweli imemuondolea hadhi ya kuitwa Judge.

Kimsingi alichofanya ni ukibaka, na hakuna njia rahisi kulielezea hilo.

It is presumed nobody is above the Law.
Fatma alikuwa akimuwakilisha kisheria ndugu Addo Shaibu aliyekuwa aki challenge uteuzi wa Prof Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu(Attorney General).

Sasa hapo kuna nini cha ajabu?

Kumpiga marufuku mtu kwa kufanya kazi yake inayompatia riziki ni ukibaka.
Tatizo linaloikumba nchi yetu hivi sasa ni kwamba Watanzania tumeondokewa na ule ujasiri wa kusema kweli, 'kweli daima, badala yake tunashindana kujikomba kwa kiwango cha kutia kinyaa.
Amini usiamini, Mungu anatuona.
Hali ni mbaya zaidi wahusika wanapokuwa 'kabila yangu'! (Feleshi, Kilangi, Makonda et al)
Hawaguswi wala kugusika.
Kwa hakika, nchi tunaipeleka kubaya!
 
Kwa ufupi tu inaonekana hujui chochote kuhusu sheria na taratibu za uendeshaji mashauri. Judge kiongozi alichofanya kiko katika Mamlaka yake, tena from the Advocate Act, huyu Bibi kizee alikuwa Rais TLS muda mchache uliopita anajua fika Wakili anayejielewa hawezi kuweka mipasho kwenye submission, something to be submitted before a Court of Law!

Nimesoma submission na sijaona mipasho. Wewe kumuita Fatma bi kizee na hiyo ndo mipasho na hapa ni mahali sahihi!
 
Kuwa na nidhamu kwa wenzio na jadili hoja badala ya ku"attack" personality wewe. Unamwita BIBI KIZEE unamkokea moto?. Najizuia kukutukana lakini unastahili tusi kubwa sana kwa kumkosea adabu mtanzania mwenzio. Araaaaaahh
huyo kijana hana adabu kabisa!
 
Back
Top Bottom