Si yote hayo mlisema ameondoka nayo marehemu na sasa mnapumua?
Na bado! Mpaka siku akili ziwakae sawa
..waliokata rufaa sio Jamhuri ni masalia wa Sukuma Gang.
Si yote hayo mlisema ameondoka nayo marehemu na sasa mnapumua?
Na bado! Mpaka siku akili ziwakae sawa
Yaani nchi hii mtu akisoma kidegree cha sheria eti ndo anajua kila kitu. Wenzetu wanapiga hatua katika sayansi,technologia na kilimo
sisi tumebaki kuwa taifa la wanaharakati eti kwa sababu tunajua sheria basi tunaweza kufanya tunachotaka.
Ukitizama utagundua kuwa taifa letu limekosa ajenda mahususi kwenye elimu kitu pekee amabacho kitawafanya vijana wa taifa hili kuweza kupata uwezo wA kujiajiri na kutafuta fursa katika sehmu nyingine za dunia.
Tunachopaswa kufanya kwa sasa ni kuhakikisha kila mwananchi kufanyia kazi taalunma yake kwa manufaa ya taifa sio kuwa wajuaji tu wasiokuwa na masaada kwa taifa.
Sasa mbona bado mnalialia kwamba mnabanwa?Yaani nyie legacy ya Mwendawazimu mnashida sana, hata iweje KICHAA kafa yaani alishakufa , kuoza na kunuka, tukaitia mpaka gundi mdomoni. TUKAFUKIA
Kujipa moyo unaruhusiwa .
FUNZA tu wanatoka kwa MAVI yake..
DADEKI..!
Sasa mama yenu si aliwakomesha hao sukuma gang? Inakuwaje tena?..waliokata rufaa sio Jamhuri ni masalia wa Sukuma Gang.
Sasa kashafariki vipi sasa mbona bado mnalialia?Dikteta kichaa (in dialo voice
Sasa mama yenu si aliwakomesha hao sukuma gang? Inakuwaje tena?
Kashakufa ndio! Sasa vigele gele vyenu kwamba mama anaupiga mwingi viko wapi?hata ufanyaje dikteta kasha kufa, kwani kukata rufaa ni vibaya?
Ukifanya vizuri mkuu tutakusifia tu hakuna namna ukifanya vibaya tutakukosoa, mama siyo mailaka anamapungufu ya kibinadamuKashakufa ndio! Sasa vigele gele vyenu kwamba mama anaupiga mwingi viko wapi?
Hizi ni zile rufaa mfu za kupoteza muda. Mh Rais alisha waambia waangalie siyo kila rufaa ni ya kusajiliHuyu dada atashinda, siku zote shetani huwa hataki maendeleo ya watu naona watu bado wanaishi enzi ya dikteta.
Aibu kubwa sn kwa mahakama hizi za CCMHizi ni zile rufaa mfu za kupoteza muda. Mh Rais alisha waambia waangalie siyo kila rufaa ni ya kusajili
Huyu msajili bado ni product ya mwends zake.
Kwani ni uongo Fatma alifungiwa bila kusikilizwa?
Hawa kina Feleshi taa za kukaa ofisini ex imesha waka. Badala ya kuweka hidtotia yake vyema dakika hizi za mwisho naona bado ana ichafua. Historia ita mhukumuMimi si Mwanasheria lakini kosa linalotajwa kutendwa na wakili Fatuma Karume ni la "kukiuka maadili ya uwakili wake"
Msingi wa kosa lake ulitokana na kuandika hivi alipokuwa anamtetea Ado Shaibu ktk kesi yake na eti hii ndo ikasababishwa kusimamishwa kwake uwakili...
"....hata iwapo kesi hii itashindwa, ataendelea kupambana nayo. Hata Rais Magufuli akiondoka madarakani mwaka 2020 au hata kama ni 2025 au hata kama mahakama itabadilika atarndelea kupambana...."
Sijui maadili ya Uwakili mimi kwa sababu mimi si wakili/mwanasheria, lakini kama hiyo statement hapo juu "ilikiuka maadili ya uwakili" basi professional ya sheria/uwakili ina shida na mapungufu makubwa...
Lakini all in all, huyu Dada Fatuma Karume, waliamua kumpunguza nguvu tu simply kwa sababu tu ya upinzani wake dhidi ya utawala wa wasukuma chini ya Mwendazake John P. Magufuli....!!
Mnalia nyinyi misukule wakeSasa kashafariki vipi sasa mbona bado mnalialia?
Ahahahaaa . DuuhhKuna viumbe vinaitwa MaCCM vina roho dhaifu sana .
Yaani Shangazi wa Taifa kukataa ushenzi wao, wanataka kumuonyesha roho mbaya.
Nchi ya hovyo sana hii.
Na bi, Chokochoko yupo yupo tu mara atubanie sauti. mara atulegezee macho.