Fatma Karume akwaa kizingiti kingine, Jamhuri yakata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu

Yaani nchi hii mtu akisoma kidegree cha sheria eti ndo anajua kila kitu. Wenzetu wanapiga hatua katika sayansi,technologia na kilimo
sisi tumebaki kuwa taifa la wanaharakati eti kwa sababu tunajua sheria basi tunaweza kufanya tunachotaka.
Ukitizama utagundua kuwa taifa letu limekosa ajenda mahususi kwenye elimu kitu pekee amabacho kitawafanya vijana wa taifa hili kuweza kupata uwezo wA kujiajiri na kutafuta fursa katika sehmu nyingine za dunia.
Tunachopaswa kufanya kwa sasa ni kuhakikisha kila mwananchi kufanyia kazi taalunma yake kwa manufaa ya taifa sio kuwa wajuaji tu wasiokuwa na masaada kwa taifa.

..hivi ni nani aliyewazuia wasomi wa sayansi, kilimo, teknolojia, ... kuchangamka na kuwa wanaharakati kulingana na taaluma zao?

..tusiwalaumu wasomi wanaharakati wa sheria kwa KUJITAMBUA na kupigania haki zao.

..wasomi ktk taaluma nyingine wanatakiwa kuwa-encouraged wachangamke kitaaluma.
 
Yaani nyie legacy ya Mwendawazimu mnashida sana, hata iweje KICHAA kafa yaani alishakufa , kuoza na kunuka, tukaitia mpaka gundi mdomoni. TUKAFUKIA
Kujipa moyo unaruhusiwa .
FUNZA tu wanatoka kwa MAVI yake..
DADEKI..!
Sasa mbona bado mnalialia kwamba mnabanwa?

Mtapata akili tu baadae
 
Huyu dada atashinda, siku zote shetani huwa hataki maendeleo ya watu naona watu bado wanaishi enzi ya dikteta.
Hizi ni zile rufaa mfu za kupoteza muda. Mh Rais alisha waambia waangalie siyo kila rufaa ni ya kusajili
Huyu msajili bado ni product ya mwends zake.
Kwani ni uongo Fatma alifungiwa bila kusikilizwa?
 
Mimi si Mwanasheria lakini kosa linalotajwa kutendwa na wakili Fatuma Karume ni la "kukiuka maadili ya uwakili wake"

Msingi wa kosa lake ulitokana na kuandika hivi alipokuwa anamtetea Ado Shaibu ktk kesi yake na eti hii ndo ikasababishwa kusimamishwa kwake uwakili...

"....hata iwapo kesi hii itashindwa, ataendelea kupambana nayo. Hata Rais Magufuli akiondoka madarakani mwaka 2020 au hata kama ni 2025 au hata kama mahakama itabadilika atarndelea kupambana...."

Sijui maadili ya Uwakili mimi kwa sababu mimi si wakili/mwanasheria, lakini kama hiyo statement hapo juu "ilikiuka maadili ya uwakili" basi professional ya sheria/uwakili ina shida na mapungufu makubwa...

Lakini all in all, huyu Dada Fatuma Karume, waliamua kumpunguza nguvu tu simply kwa sababu tu ya upinzani wake dhidi ya utawala wa wasukuma chini ya Mwendazake John P. Magufuli....!!
Hawa kina Feleshi taa za kukaa ofisini ex imesha waka. Badala ya kuweka hidtotia yake vyema dakika hizi za mwisho naona bado ana ichafua. Historia ita mhukumu
 
Kuna viumbe vinaitwa MaCCM vina roho dhaifu sana .
Yaani Shangazi wa Taifa kukataa ushenzi wao, wanataka kumuonyesha roho mbaya.
Nchi ya hovyo sana hii.
Na bi, Chokochoko yupo yupo tu mara atubanie sauti. mara atulegezee macho.
Ahahahaaa . Duuhh
 
Fatuma atashinda kesi na Serikali itamlipa fidia kubwa mno. Subirini
 
"hata iwapo kesi hii itashindwa, ataendelea kupambana nayo, rais akiondoka madarakani mwaka 2020 au kama ataondoka 2025 au kama mahakama itabadilika ataendelea kupambana”
Hivyo tu unamfungia mtu asipate riziki! Mpaka unakata rufaa ili asiendelee kupata riziki, du ama kweli JAMHURI Ana roho mbaya mpaka sometimes shetani huwa anawakana!
 
Kama laiti wale wasiojulikani wangekuwa na weledi japo wa kiasi kidogo, wangejibadilisha ili wawe majaji halisi.

Hawa wasiojulikana ambao marehemu aliamua kuwapeleka mahakamani kwa nia ya kuharibu mfumo wa haki, wengi wao inaonekana hata hawajui kuwa aliyewapeleka huko hayupo Duniani, na huyu aliyepo sasa, japo inaonekana anapenda awatumie, wasichojua ni kuwa hana uwezo wa kuwalinda kama alivyokuwa marehemu. Marehemu aliweza kuwalinda majambazi aliowaidhinisha, kama akina Sabaya, na hakuna aliyeweza kuwabughudhi. Hangaya hana uwezo wa kuwalinda watu aliowatumia katika uovu kwa kiwango cha marehemu.
 
Back
Top Bottom