Fastjet transport.. Ni kweli imeleta hofu kwa precision air na atcl..?

sosoliso

JF-Expert Member
May 6, 2009
8,539
9,462
Mengi yanasemwa kuhusu usafiri wa kampuni mpya ya ndege ya Fastjet ambayo inatoa huduma hiyo kwa gharama nafuu sana.. bottom line ni kwamba wanatoa huduma hiyo kwa gharama nafuu..

Kilichonistua na kunifanya niandike post hii ni kutokana na habari niliyoina kwenye gazeti la jana la The Guardian ambalo chini ya kichwa cha habari "Fastjet shakes Dar's aviation sector" kuna sehemu ambako mwandishi amemnukuu senior officer mmoja wa Precionair ambae hakutaka jina lake liandikwe na mie ninanukuu.. "
This's not competition, this's spoiling the aviation business.. what's happening isn't good for the future of the aviation in Tanzania and hopefully the Fair Competition Commission will intervene"..

Jee ni kweli Fastjet wanachofanya ni kuliharibu soko la usafiri wa anga..? Au ndio mipango ya shirika hili kupigwa vita na kuondolewa hewani kisa tu linatoa huduma za anga kwa bei nafuu..?
 
waongo hawana cha bei nafuu wala nn!! mie jana nimewasiliana nao kwaajili ya trip ya jmos arusha eti ticket za bei rahisi zimeisha..zimebaki za luxury....nikajiuliza safari ya 40 mints nahitaji luxury ya nn?? nikasema ok kwenye wkend ya next week nikajibiwa still nafasi zimejaa...mie nadhani hili lilikuwa changa la macho tu!!!
 
waongo hawana cha bei nafuu wala nn!! mie jana nimewasiliana nao kwaajili ya trip ya jmos arusha eti ticket za bei rahisi zimeisha..zimebaki za luxury....nikajiuliza safari ya 40 mints nahitaji luxury ya nn?? nikasema ok kwenye wkend ya next week nikajibiwa still nafasi zimejaa...mie nadhani hili lilikuwa changa la macho tu!!!
Vigezo na Masharti kuzingatiwa! Safari za zimamoto hazina nafasi katika Low Cost Flights! Ingia kwenye website zao usome kwa umakini.
 
waongo hawana cha bei nafuu wala nn!! mie jana nimewasiliana nao kwaajili ya trip ya jmos arusha eti ticket za bei rahisi zimeisha..zimebaki za luxury....nikajiuliza safari ya 40 mints nahitaji luxury ya nn?? nikasema ok kwenye wkend ya next week nikajibiwa still nafasi zimejaa...mie nadhani hili lilikuwa changa la macho tu!!!

Siyo changa la macho, hiyo unayoona ni gharama sana kwa Fastjet ungeenda Precion ukajionee mwenyewe seleka lake, ungefurahi!!!!

Precion ukienda kwenye mtandao wao, bei ya ticketi inaweza kuwa ni kama 134,000 ila kodi ambazo hata sizijui ni zaidi ya nauli unayolipia!!!

Wapuuzi sana Precion lakini tunawashukuru mpaka hapa walipotufikisha.
 
ATCL one way Dar to Mwz 130,000. Precision one way Dar to Mwz 170.000...ukweli Fastjet ni tishio.

Hapo nadhani ni baada ya kupunguza, nakumbuka niliwahi kumkatia ndugu yangu mmoja tiketi ya ndege go and return kwa 317,000 na haina muda mrefu sana tangu nimlipie.
 
acha kuropoka wewe...nilitaka kubook safari ya one week ahead...sasa hiyo zimamoto inatoka wapi?? au nawe unaandika tujue nawe umo jf???
Vigezo na Masharti kuzingatiwa! Safari za zimamoto hazina nafasi katika Low Cost Flights! Ingia kwenye website zao usome kwa umakini.
 
Hapo nadhani ni baada ya kupunguza, nakumbuka niliwahi kumkatia ndugu yangu mmoja tiketi ya ndege go and return kwa 317,000 na haina muda mrefu sana tangu nimlipie.

Go and return inakuwa juu ndio bei zake izo...juzi mie nimemkatia mtu ATCL kwenda Mwanza 130.000
 
waongo hawana cha bei nafuu wala nn!! mie jana nimewasiliana nao kwaajili ya trip ya jmos arusha eti ticket za bei rahisi zimeisha..zimebaki za luxury....nikajiuliza safari ya 40 mints nahitaji luxury ya nn?? nikasema ok kwenye wkend ya next week nikajibiwa still nafasi zimejaa...mie nadhani hili lilikuwa changa la macho tu!!!

Ciello Kaka yangu alienda Moshi na anarudi jioni hii kwa gharama ya Tshilingi isiozidi 150,000 return ticket..! Cheap hiyo..
 
acha kuropoka wewe...nilitaka kubook safari ya one week ahead...sasa hiyo zimamoto inatoka wapi?? au nawe unaandika tujue nawe umo jf???

Ciello Today 17:03
#7 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 7th September 2012

Posts : 2,882
Rep Power : 956
Likes Received1742
Likes Given1629




Uwezo wako wa kuargue ndiyo umeishia hapo? One week ahead ndy unalalama kiasi hicho! Haya Mkuu. Siku nyingine uwe unaingia kwenye website yao unaona tickets za bure ziko kuanzia tarehe ngapi, hiyo inatokana na wingi wa watu, vinginevyo panda basi kwa roho safi.
http://booking.fastjet.com/VARS/Public/FlightSelect.aspx
 
hahahahahahahahahahahahahahah!!!!wewe uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia kunitrace na kuleta profile yangu hapa...no wonder ur amoeba...thanx anywaya inaonyesha unatambua uwepo wangu humu....siwezi kutrace ur profile coz ur too low 4 m asante kwa kuongeza idadi ya visitors kwenye page yangu...
Ciello Today 17:03
#7 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 7th September 2012

Posts : 2,882
Rep Power : 956
Likes Received1742
Likes Given1629




Uwezo wako wa kuargue ndiyo umeishia hapo? One week ahead ndy unalalama kiasi hicho! Haya Mkuu. Siku nyingine uwe unaingia kwenye website yao unaona tickets za bure ziko kuanzia tarehe ngapi, hiyo inatokana na wingi wa watu, vinginevyo panda basi kwa roho safi.
http://booking.fastjet.com/VARS/Public/FlightSelect.aspx
 
Mengi yanasemwa kuhusu usafiri wa kampuni mpya ya ndege ya Fastjet ambayo inatoa huduma hiyo kwa gharama nafuu sana.. bottom line ni kwamba wanatoa huduma hiyo kwa gharama nafuu..

Kilichonistua na kunifanya niandike post hii ni kutokana na habari niliyoina kwenye gazeti la jana la The Guardian ambalo chini ya kichwa cha habari "Fastjet shakes Dar's aviation sector" kuna sehemu ambako mwandishi amemnukuu senior officer mmoja wa Precionair ambae hakutaka jina lake liandikwe na mie ninanukuu.. "
This's not competition, this's spoiling the aviation business.. what's happening isn't good for the future of the aviation in Tanzania and hopefully the Fair Competition Commission will intervene"..

Jee ni kweli Fastjet wanachofanya ni kuliharibu soko la usafiri wa anga..? Au ndio mipango ya shirika hili kupigwa vita na kuondolewa hewani kisa tu linatoa huduma za anga kwa bei nafuu..?

Low cost airlines zipo hata ulaya, Raynair na easyjet wanachapa kazi na kina Airfrance au british airways hawalalamiki,

PrecisionAir ilianzishwa kwa kuihujumu Air tanzania, Basil mramba as a cabinet minister alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa precision air. Let them put up or shut up, Fastjet is here to stay vinginevyo tutayasikia ya fidia nyingine kama za dowans.
 
hahahahahahahahahahahahahahah!!!!wewe uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia kunitrace na kuleta profile yangu hapa...no wonder ur amoeba...thanx anywaya inaonyesha unatambua uwepo wangu humu....siwezi kutrace ur profile coz ur too low 4 m asante kwa kuongeza idadi ya visitors kwenye page yangu...

Kumbe kupata hizo info mpaka uingie kwenye profile?...anyway, you are just a kid, a kid who thinks she is right all the time! Okay kid, endelea kuwaza ujuu na uchini badala ya kujenga, hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Low cost airlines zipo hata ulaya, Raynair na easyjet wanachapa kazi na kina Airfrance au british airways hawalalamiki,

PrecisionAir ilianzishwa kwa kuihujumu Air tanzania, Basil mramba as a cabinet minister alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa precision air. Let them put up or shut up, Fastjet is here to stay vinginevyo tutayasikia ya fidia nyingine kama za dowans.

Hivi linaweza kuhimili vita vya kifisadi toka kwa an organized mafia..?
 
waongo hawana cha bei nafuu wala nn!! mie jana nimewasiliana nao kwaajili ya trip ya jmos arusha eti ticket za bei rahisi zimeisha..zimebaki za luxury....nikajiuliza safari ya 40 mints nahitaji luxury ya nn?? nikasema ok kwenye wkend ya next week nikajibiwa still nafasi zimejaa...mie nadhani hili lilikuwa changa la macho tu!!!

Tehetehetehetehetehetehe, pole binti. Hakuna cha changa la macho wala nini. Watu kadhaa ninaowafahamu wamesafiri kwa hiyo 32K one way DAR-MZA ukiongeza na kodi inakuwa kama 43K+. Kama una ozoefu kwenye usafiri wa anga usingesema haya uliyoandika, kwa maana ukitaka tiketi ya kusafiri muda mfupi ujao lazima utalipa gharama kubwa. Huwa hakuna nauli moja kwenye ndege siku zote. Wewe ingia kwenye website yao jaribu kufanya booking ya kusafiri mwezi wa pili mwakani uone nauli zao kisha uje utuambie.
 
Tehetehetehetehetehetehe, pole binti. Hakuna cha changa la macho wala nini. Watu kadhaa ninaowafahamu wamesafiri kwa hiyo 32K one way DAR-MZA ukiongeza na kodi inakuwa kama 43K+. Kama una ozoefu kwenye usafiri wa anga usingesema haya uliyoandika, kwa maana ukitaka tiketi ya kusafiri muda mfupi ujao lazima utalipa gharama kubwa. Huwa hakuna nauli moja kwenye ndege siku zote. Wewe ingia kwenye website yao jaribu kufanya booking ya kusafiri mwezi wa pili mwakani uone nauli zao kisha uje utuambie.

Wewe kweli mzoefu na kwenye ndege kuna class sijui T, S nk
 
Wewe kweli mzoefu na kwenye ndege kuna class sijui T, S nk

Si mzoefu sana dadangu lakini angalau kauzoefu kadogo nilikokapata kamenifanya kujua vitu kadhaa na kuwa makini sana pale ninapotaka kusafiri kwa ndege kwa kutumia pesa zangu mwenyewe (kwamaana ofisi huwezi kuwapangia mipango yao na mizunguko ya kutoa pesa). Ni kweli kama ulivyosema kuna hayo madaraja ya T, S, Y, Q etc lakini yote ni economy na nauli ziko tofauti, tehetehetehetehetehe. Kwamfano inajulikana kuwa KLM ni ghali lakini ukinunua tiketi yako miezi 4 au 5 kabla ya safari unaweza kupata tiketi kwa bei ndogo sana.
 
Kwa hiyo Presicion Air wanataka kuendelea kulangua watanzania kwa mgongo wa 'Fair Competition Commission? Walizoea kuvuruga ATCL sasa wamekutna na wafanyabiashara wa kweli. Usafiri wa anga Tanzania ulibakiwa kuwa kwa matajiri, wengine tunabanana kwenye fusso.

Mungu awape nguvu na maarifa zaidi Fastjet.
 
Back
Top Bottom