mbombo jilipo !!!
:majani7::smiling:
we ni mhaya auFastJet ni vizuri watabadilisha saikolojia ya watumiaji wa ndege. Niko hapa JNIA naelekea KIA na precision but nachokiona hapa ni great kwa watanzania. Watu ni wengi na wengi ni abiria wa FastJet. Nimefurahi sana kwamba at last haya mambo ya ukiritimba ni unyonyaji. Wacha ndugu zetu watumie hizi fursa za ubapari sometime zinaunafuu wake. Dege moja la FastJet linaruka hilooooo full board!
Nani kakukaribisha?Wakuu Arusha sijawahi fika ngoja nioshe nyota kwa fastjet
kwa nini dear?we ni mhaya au
mbombo jilipo !!!
:majani7::smiling:
mbombo jilipo !!!
:majani7::smiling:
...Hi hi hi hi...achana na hiyo..kwea PW...haraka na uhakikahakuna kitu....jana nimeenda kufanya booking ofisini kwao.....hakukuwa na hata sehemu ya kuweka mguu....harufu ya jasho tu imejaa jinsi watu walivyo wengi......shida ya nini.....PW ndio mambo yote....labda baadae sana ila kwa sasa......am soreeeeee.........
...Hi hi hi hi...achana na hiyo..kwea PW...haraka na uhakika
..vipi lakin..bebii..uko pouwaaaaaaaa...ooh yeah bebii......