Kiukweli kampuni ya ndege ya fastjet imetusaidia sisi wafanyabiashara wenye mitaji midogo kuokoa muda & fedha kwa mfano mimi nafanya biashara kati ya Dar-Arusha-Nairobi pia Mbeya & Johannesburg. hawa jamaa walivyo smart unaweza ku-plan safari 3 months well in advance.
Nikitaka kwenda Nairobi fasta nakwea pipa (toka Dar) mpaka KIA then pale naunga na shuttle 2 Nairobi, pia Dar-Joburg wana deals/fare cheap mno. WAJASIRIAMALI TUTUMIE FURSA HII kuokoa MUDA & PESA
Nikitaka kwenda Nairobi fasta nakwea pipa (toka Dar) mpaka KIA then pale naunga na shuttle 2 Nairobi, pia Dar-Joburg wana deals/fare cheap mno. WAJASIRIAMALI TUTUMIE FURSA HII kuokoa MUDA & PESA