OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,601
- 9,065
Jf kuna watu wanahela ndefu, wadada ndio maana wanakimbilia humu
_ where ever you are remember me_
_ where ever you are remember me_
Lazima tuifuatilie serikali maana ni kodi zetu... Hao fastjet mbona walikuwa fresh tu kabla ya hizi njiwa za Magu? Natamani fastjet isitishe safari zake zote ili tuone hivyo vinjiwa vya Magu vitakavyowajibikaKumbe wengi wanapenda sana kasolo za serikali kuliko mazuri,mbona hakuna comments zile
Si ulisema huwezi kupanda mapangaboi maishani. Sasa kelele za kodi zetu sijui nini zinatoka wapi?Fastjet haijanunuliwa kwa kodi zetu kifupi sio ndege ya wananchi..
Eti ndege za JPM!!! Alizinunua kwa mshahara upi?Bora usafirie ndege za JPM
Hao hawajali tena abiria wao..
Halafu vitafunwa vyenyewe ni visheti