adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,887
- 4,386
Jama wanajitutumua sana halafu maajabu hakuna...HahaHaha
Jama wanajitutumua sana halafu maajabu hakuna...HahaHaha
Mzee huo mzigo upoje??Umewekewa linkhapo na kama unatumia mobile download hii app (flud) itakusaidia kushusha kwa uraisi.
View attachment 1873233
Hamna movie hapo
Sana mkuu, itoshe kusema tu wamezinguaDaaaah jacob na ndugu yake wametufanya kama bongo movie aiseeeh
Umeona mkuu!! Ubunifu umefika meishoHakuna movie hapa
โ โ โ โMovie moja ikishakua na mastaa wengi eneo moja lazima itaboa.
Yale Yale ya Expendables, mastaa kibao afu script mbovu
Movie imeboa.
Kama ilivyo Money HeistHaina tofauti na into the bad land mwanzoni ilikuwa njema hii ya mwisho ya kawaida
Hype za kutoshaJama wanajitutumua sana halafu maajabu hakuna...
Hype za kutosha
Binafsi sikuonaNlishatoaga review mwanzo pale hamna kitu, Probably watu waliniona hater kwa vile wengi walikuwa hawajaiangalia
Movie Reviews
Movie Reviews
Alert!!!!!! Mortal Combat is not a good movie to watch. Cracked up story... A lot of graphics without any connected action story. if you want a movie to waste your buddle go for it........ Let neither opening scene nor you tube trailer foul youwww.jamiiforums.com
Binafsi sikuona
Anna kituTayari movie ya FF9 imeachiwa clean version, wazee wa kudownload kazi kwenu! Kama ushaoiona njoo utupe maoni yako, tumepigwa au laa?
View attachment 1872922
Kweli mkuu๐๐Sema F&F walivyoi hype hata ukipewa review hauamin mpaka ukathibitishe mwenyewe walivyoboronga uridhike
Hahaha nimeicheki jana hii ni bonge la muvi..Gun Powder Milkshake hahahaha nangalia zangu
Hahaha nimeicheki jana hii ni bonge la muvi..
Contract killers mama na mtoto!
Mama baada ya kufanya mauaji sana akawa most wanted na makundi ya wakora ikabidi apotee(go dark)
Huku akimwacha mwanae SAMI akichukuliwa na kundi mamaake alokuwa anafanyia kazi ya kuua!
Mtoto baada ya kuwa well trained akawa anapewa mission zile zile kama za mamaake! Za kuua.....
Utamu ulianzia pale sami alipofanya mauaji kimakosa na akamuua mtoto wa tycoon gaidi mbaya kabisa....
Huku sami akipewa tenda ingine ya kwenda kumuua jamaa alieiba hela za kampuni yao na kuzirudisha..
Baada kumpiga yule mwizi risasi mwizi akamwambia sami kwamba zile fedha aliiba ili amkomboe mwanae ambae alitekwa hivyo anaomba amsaidie kumuokoa mwanae!!
Hapo ndio muvi inanoga zaidi..
Sami katumwa aue kisha arudishe ela za kampuni yeye akazipeleka kwa magaidi ili amkomboe mtoto wa yule mwizi!!
Ikabidi kampuni itume wakora wengine wamuue sami kwa kukiuka au kukengeuka na kuvunja uaminifu..
Hapo hapo kampuni ikampigia simu yule tycoon alieliwa mtoto wake a kupewa location ya sami ili wammalize...
Kwahiyo hapo sami inabidi apambane na wakora waliemteka mtoto hapohapo watu waliotumwa na kampuni yake vilevile yule tycoon ambae mwanae aliuwawa na sami....
Ni hatari na nusu hapo..
Hii muvi naipa rate 7/8