GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Mzee wangu aliwah kunambia kuwa ntapata shida sana nikiwa mtu mzima dunia hii. Sabab aliniona ni mtu ninayependa na ku enjoy ukwel na hii imesababisha nikose hata marafiki wengi.
Hizi movie za fast and furious zina uongo wa kitoto mpaka zinatia kichefu chefu kuangalia. Mi zimenishinda kabisa... Movies zenye uongo sana huwa siziwezi maskin...movies za kufikirika zisizo na uhalisia nazo zinanipa shida nashindwa kuangalia.
Kuna wakat nataman nami niwe kama watu wa kawaida. Ni enjoy maisha lakini nashindwa...nmejitahidi sana ila nmefika kikomo.
Hizi movie za fast and furious zina uongo wa kitoto mpaka zinatia kichefu chefu kuangalia. Mi zimenishinda kabisa... Movies zenye uongo sana huwa siziwezi maskin...movies za kufikirika zisizo na uhalisia nazo zinanipa shida nashindwa kuangalia.
Kuna wakat nataman nami niwe kama watu wa kawaida. Ni enjoy maisha lakini nashindwa...nmejitahidi sana ila nmefika kikomo.