Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,622
- 28,752
Dentist kotekoteHivi babu K yeye alijishughulisha na Tembo pekee au na huku alikuwa anagusa?
Dentist kotekoteHivi babu K yeye alijishughulisha na Tembo pekee au na huku alikuwa anagusa?
Pombe, Kigoda, banana.....Kwani Mungu aliumba majina? Una uhakika gani majina tunayotumia yalikua kwa ajili ya binadamu na si viumbe vingne? Vipi wale wanaoita watoto Komba, Tembo, Simba, Chui n.k hapa unafunza nini jamii? Kuna mambo inabidi kupunguza mihemko
Mtoto wa 9 ni naniMtoto yupi? Maana inasemekana Faru John kaacha watoto takribani 26.
Kwani john au simba kwenye kiswahili ipi ni nomino na ipi ni kitenzi hapo..?Faru Hawa walizaliwa na majjna yao? walibatizwa lini?
Tunawafunndisha nn watoto na vizazi vijavyo, tuacha tabia ya kuwaita mbwa, faru majina ya binadam na ndio maana Mungu alitumba tofauti, binadam na wanyama, wanyama tuwape au tuwatafutie Majina yao, ya binadam yabaki ya binadam
Watu walimnywa December, 2015 kipindi ambacho hatukuwa na Cabinet eti tunabana Matumizi ya Mishahara ya Mawaziri kila Mtu akaotesha Sharubu ofisini kwake[/QUOTE
Ifike mahali tuseme yatosha. Kiongozi yeyote amebeba dhamana ya watz. Hivyo anawajibu wa kuwajibika iwapo ameshindwa kutekeleza wajibu wake
Huyu jamaa atakua anasali kwa mzee wa upako au gwajima ndio maana kapata uchungu bila kuwaza binadamu pia kaiba majina ya wanyamaKwani Mungu aliumba majina? Una uhakika gani majina tunayotumia yalikua kwa ajili ya binadamu na si viumbe vingne? Vipi wale wanaoita watoto Komba, Tembo, Simba, Chui n.k hapa unafunza nini jamii? Kuna mambo inabidi kupunguza mihemko
This is too much