Farhia Middle wa ITV/Radio One sasa umekuwa mtamu kama mcharo!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,458
108,585
Ni mtangazaji ambaye alianza kwa " kusuasua " huku akionekana kukosa self esteem hasa akiwa anatangaza katika tv lakini sasa huyu Mtangazaji wa Kike wa ITV / Radio One Farhia Middle amekuwa akinishawishi kila mara nimuangalie akiwa " anatiririka " kutangaza taarifa zake za Habari ITV na niseme tu kuwa kwa sasa " ameiva " na kawa " mtamu " kama " mcharo ".

Ombi langu kwako Bidada jaribu kuvaa nguo ambazo zinakukaa vizuri kwani hizo nguo uzivaazo na hasa hayo makoti huwa hayakupendezi na yanakuharibu na kumbuka Wewe ni bonge la Mrembo hivyo hupashwi kutopendeza. Lakini upande wako wa Tabasamu, Macho, Rangi na Sauti yako hakika huna mpinzani kwa sasa hapa Tanzania.

Nakutabiria na naomba kama kweli Mwenyezi Mungu huwa anasikiliza " dua " zetu basi ndani ya miezi sita ( 6 ) tu ijayo nikuone ukiwa ama BBC au VOA kwani kwa uwezo wako mkubwa ulionao hapo ITV / Radio One na hapa Tanzania unapoteza tu muda.

Nakukubali sana Bibie na nakutakia mafanikio mema na uzidi kung'aa.
 
Ni mtangazaji ambaye alianza kwa " kusuasua " huku akionekana kukosa self esteem hasa akiwa anatangaza katika tv lakini sasa huyu Mtangazaji wa Kike wa ITV / Radio One Farhia Middle amekuwa akinishawishi kila mara nimuangalie akiwa " anatiririka " kutangaza taarifa zake za Habari ITV na niseme tu kuwa kwa sasa " ameiva " na kawa " mtamu " kama " mcharo ".

Ombi langu kwako Bidada jaribu kuvaa nguo ambazo zinakukaa vizuri kwani hizo nguo uzivaazo na hasa hayo makoti huwa hayakupendezi na yanakuharibu na kumbuka Wewe ni bonge la Mrembo hivyo hupashwi kutopendeza. Lakini upande wako wa Tabasamu, Macho, Rangi na Sauti yako hakika huna mpinzani kwa sasa hapa Tanzania.

Nakutabiria na naomba kama kweli Mwenyezi Mungu huwa anasikiliza " dua " zetu basi ndani ya miezi sita ( 6 ) tu ijayo nikuone ukiwa ama BBC au VOA kwani kwa uwezo wako mkubwa ulionao hapo ITV / Radio One na hapa Tanzania unapoteza tu muda.

Nakukubali sana Bibie na nakutakia mafanikio mema na uzidi kung'aa.
Ikimbie zinaa!
 
Wakuu kuna mtangazaji alikuwa anaitwa FLORA NDUCHA yupo wapi! nilikuwa napenda usomaji wake wa habari.
 
Hata mm ananivutia sana,kiukweli ni mzur na kale katabasam kake na macho yake, asee yuko vizur, hongera zake anaemiliki
 
Bondia huyo.... Hakuna anaemiliki.
kwako bondia sawa! Bt ukipendocho wew si lazma mim au wengne wakipende mkuu, thnx kwa kuniambia hakuna anaemiliki ili nianze hatua za kugombea ili nimiliki Jimbo, afu inaonekana una wivu sana mkuu
 
Back
Top Bottom