GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Watu wengi tunaokusikiliza ukiwa Hewani tulikuwa tunataka tu Kujua Wewe ni Shabiki wa Timu ipi za Kariakoo na hatimaye leo tumekujua kuwa kumbe Wewe ni Yanga SC.
Mnafiki mkubwa Wewe muda wote Unaongea na Kuchambua kwa Hasira huku ukiitetea Yanga SC kwa kusema Kufungwa Kwao siyo Story.
Sasa kama umeshajua kuwa Kufungwa kwa Yanga SC na Ihefu FC leo siyo Story mbona unaanza kusema Uchovu (Fatigue) ndiyo imewafanya Wafungwe?
Ni mara ngapi Makocha wa Timu zingine kama wa Coastal Union FC, Azam FC, Ruvu Shooting FC na Kagera Sugar FC huwa Wanalalamikia Uchovu na Ratiba ngumu ya Ligi na Wakifungwa hujitokezi Kuwatetea na Kuchambua kwa Hasira (Usununu) kama ulivyofanya kwa Yanga SC iliyofungwa Comfortably and Convincingly na Ihefu FC leo na kuivunjilia mbali Unbeaten Record yao?
Kuanzia leo hii naanza Kukudharau.
Mnafiki mkubwa Wewe muda wote Unaongea na Kuchambua kwa Hasira huku ukiitetea Yanga SC kwa kusema Kufungwa Kwao siyo Story.
Sasa kama umeshajua kuwa Kufungwa kwa Yanga SC na Ihefu FC leo siyo Story mbona unaanza kusema Uchovu (Fatigue) ndiyo imewafanya Wafungwe?
Ni mara ngapi Makocha wa Timu zingine kama wa Coastal Union FC, Azam FC, Ruvu Shooting FC na Kagera Sugar FC huwa Wanalalamikia Uchovu na Ratiba ngumu ya Ligi na Wakifungwa hujitokezi Kuwatetea na Kuchambua kwa Hasira (Usununu) kama ulivyofanya kwa Yanga SC iliyofungwa Comfortably and Convincingly na Ihefu FC leo na kuivunjilia mbali Unbeaten Record yao?
Kuanzia leo hii naanza Kukudharau.