Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FirstLady ujue mie hiyo pesa imenifanya kwenye vikao vya wakina mama mtaani kwetu, nimehawamisha woteeeeee kutoka CCM kwenda CDM, tena huwa nakwenda na nondo zangu kichwani naprint na shahidi mbalimbali kuwaonyesha kuwa ccm sio chama, haswa kuhusu fao la kujitoa! narudia kusema watupe pesa yetu haraka sana, na WASIRUDIE TENA KUTULAZIMISHA KUWAKOPA, i hate ccm, i hate the government na kila aliyeshiriki kwa namna moja au nyingine kuzuia fao la kujitoa!cacico njoo
Serikali yetu haiaminiki hata kidogo,Nadhani wataenda kujipanga upya watoke vip.
kuanzia lini?? nataka haraka sana nikadai, tunaruhusiwa lini kwenda kuanza kuchukua?? nilishajaza forms zao, bado kufungua madai tu, naombeni kujuzwa tafadhali!Kwa walio mbali na runinga mh. Kabaka amelitangazia bunge kuwa fao hilo linaendelea kama ilivyokuwa hapo mwanzo.
Chezea peoplessssss! power weye!:A S-baby:
FirstLady ujue mie hiyo pesa imenifanya kwenye vikao vya wakina mama mtaani kwetu, nimehawamisha woteeeeee kutoka CCM kwenda CDM, tena huwa nakwenda na nondo zangu kichwani naprint na shahidi mbalimbali kuwaonyesha kuwa ccm sio chama, haswa kuhusu fao la kujitoa! narudia kusema watupe pesa yetu haraka sana, na WASIRUDIE TENA KUTULAZIMISHA KUWAKOPA, i hate ccm, i hate the government na kila aliyeshiriki kwa namna moja au nyingine kuzuia fao la kujitoa!
believe me not, hakuna kitu kimeniuma kama hiyo pesa ya NSSF, nilikuwa sielewi nitaisubirije eti mpaka nifikishe 60yrs! who ever spoke of that is mad nakwambia!kweli sasa ni kufanya kampeni any time tunapopata chance
CCM wanatuuma na kupuliza
hatuwataki
Again Dr jk amethubitisha yeye ni kiongoizi bora kwa kusikia kilio cha watanzania
believe me not, hakuna kitu kimeniuma kama hiyo pesa ya NSSF, nilikuwa sielewi nitaisubirije eti mpaka nifikishe 60yrs! who ever spoke of that is mad nakwambia!
FirstLady ujue mie hiyo pesa imenifanya kwenye vikao vya wakina mama mtaani kwetu, nimehawamisha woteeeeee kutoka CCM kwenda CDM, tena huwa nakwenda na nondo zangu kichwani naprint na shahidi mbalimbali kuwaonyesha kuwa ccm sio chama, haswa kuhusu fao la kujitoa! narudia kusema watupe pesa yetu haraka sana, na WASIRUDIE TENA KUTULAZIMISHA KUWAKOPA, i hate ccm, i hate the government na kila aliyeshiriki kwa namna moja au nyingine kuzuia fao la kujitoa!