Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Hii maana yake nini wakuu ''Sasa ni rasmi fao la kujitoa larejea kwenye mifuko ya jamii''
Nombeni munipe maana halisi. KUjitoa kwenye mfuko wa jamii?!!
Naomba nijue kwanza, wewe ni mwanachama wa mfuko wowote wa kijamii? if yes, mfuko gani? nianzie hapo kukuelewesha