Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
- Thread starter
- #61
Boss lazima mtu aje na futi kamba yake kuepuka usumbufu au lawama za kuibiwa kalibu snaaMna ruhusu mtu kuja na FUTIKAMBA yake ama lazima atumie ya kwenu??!
Boss lazima mtu aje na futi kamba yake kuepuka usumbufu au lawama za kuibiwa kalibu snaaMna ruhusu mtu kuja na FUTIKAMBA yake ama lazima atumie ya kwenu??!
Uamuzi mzuri. Kiasi hicho kinatosha kabisa kutegemea na aina ya nyumba unayotaka kujenga. Hata hivyo nyumba ni nyumba. Jenga nasi #MbaoTanzania.Wakuu nimeamua kila mwezi kwenye mshahara wangu ni weke laki nne je nitaweza kujenga?
Mimi sio mtu, japo kama kampuni tunazo nyumba kadhaa ambazo ni sehemu ya ofisi zetu. Karibu #MbaoTanzania.We una nyumba?
Mbao zina kazi nyingi boss. Tunajua siku ukitaka kujenga utahitaji tu mbao. Jenga nasi #MbaoTanzaniaBia tam.. mbao zitatumika kutengeneza majeneza tukifa
Hongera sana Maniaje.Laki nne nyingi Sanaa. Mimi mwaka 2012 nilikua naweka laki 2 kwa mwezi. Hadi 2017 nilikua nimebakisha finishing ndogo ndogo. 2018 nikachukua mkopo 15M 9M nikamaliza Kila kitu 6M Nikamvua mtu RAUM namba D Maisha yanasonga
Jitahidi. Hakuna linaloshindikana. Jenga nasi #MbaoTanzania.Aisee mimi mambo ya kujenga yalishanishinda hata starehe zenyewe sifanyi
ZipoBongo Kuna starehe basi?
Hata mimi nimeshangaa sana , National housing si ipo,, kisa cha kujenga halafu uwe unabangaiza maisha ni nini?, Muhimu ni ku invest,, nyumba unaweza nunua hata dubai,, provided mkwanja upoKwani kujenga ni kwamba mtu kayapatia maisha Mimi nilifikiri ungezungumzia kufanya investment kwasababu investments ndio kila kitu kwenye maisha
Kujenga nyumba ni uoga wa maisha, unajibana unajenga alafu ukifa watoto wanaanza kugombana nakuuza nyumba wakuonga viben ten wanaonga, wakula starehe na mademu wanakula wewe tafuta pesa tumiaTunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Kujenga nyumba ni uoga wa maisha, unajibana unajenga alafu ukifa watoto wanaanza kugombana nakuuza nyumba wakuonga viben ten wanaonga, wakula starehe na mademu wanakula wewe tafuta pesa tumia