Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,055
- 10,337
Mionzi ni hatari kwa mwanadamu. Ni moja wapo ya chanzo cha saratani hivyo ni vema kujaribu majiko yetu kama yanavuja ili kuchukua hatua stahili mapema kabla ya madhara hayajawa makubwa.
Mahitaji:
Simu mbili za mkononi
Jinsi ya kufanya:
Chomoa jiko kutoka kwenye soketi ya umeme kisha weka simu moja ndani ya jiko na ufunge mlango.
Piga namba ya simu iloyomo ndani ya jiko....kama ikiita basi jiko halifai kwa matumizi kwani linavujisha mionzi...na Kama simu isipopatikana basi ni salama kwa matumizi....
Kirahisi hivyo...hauhitaji teknolojia ya MIRION wala fundi mionzi
Sent using Beretta ARX 160
Mahitaji:
Simu mbili za mkononi
Jinsi ya kufanya:
Chomoa jiko kutoka kwenye soketi ya umeme kisha weka simu moja ndani ya jiko na ufunge mlango.
Piga namba ya simu iloyomo ndani ya jiko....kama ikiita basi jiko halifai kwa matumizi kwani linavujisha mionzi...na Kama simu isipopatikana basi ni salama kwa matumizi....
Kirahisi hivyo...hauhitaji teknolojia ya MIRION wala fundi mionzi
Sent using Beretta ARX 160