Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,532
- 34,845
Anakubana mwanzo mwisho hakuachi upumue hata kidogo eti anaogopa kuibiwa.Akikuona umependeza ni kosa kubwa hata kama hatakuambia ila huo mdomo atakavyovuta au huo uso ataukunja kweli kweli akihisi ameibiwa na ukiona hivyo jiandae kufukuzwa au kutangazwa vibaya kwamba wewe mwizi.Tatizo la Fikra za Kimasikini ndio hilo. Mtu anakufanyia kazi zako zinakwenda vizuri, mpe muda wa kuyafurahia maisha pia ili apate munkari wa kupiga kazi zaidi. Sio unamfanya mtu mtumwa ashindwe hata kupendeza