Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
fanya haya kuokoa maisha yako kwenye simu
Wengi wetu siku hizi tunaweka password / pattern katika simu zetu kwa ajli ya kuweka ulinzi katika simu, hali hii humpa mtu wakati mgumu wa kufungua simu yako bila ruhusa yako.
lakini umeshawahi kujiuliza vip siku umepata ajali , umepoteza simu , unaumwa mpaka ukisha simu umeshindwa au hata umekufa watu watatoaje taarifa zako.
siko hapa kusema/ kukuombea kufa lakini binadamu matatizo ndo maisha yetu hatuwezi kuyaepuka Ila ni vizuri kuweka vitu vyako ulinzi
lakini fikiria siku umetokewa na tatizo huko eneo la public uwezi kushika Wala kuongea kwenye simu yako watu wanataka kukupa msaada lakini hawawezi kutokana simu yako kuweka password / pattern.
Leo nimeamua kuwapa Elimu ambayo itasaidia kuokoa maisha yetu wakati unapopatwa na tatizo simu yako unaweza kukuokoa we fanya kusoma guy ujumbe
ikiwa simu yako huko kwenye locked kwa kawaida hukuambia weka password hili kuweza kuanza kutumia lakini chini yake Kuna neno EMERGENCY
nimeandika kwa herufi kubwa hili huweze kuliona vizuri sawa . sasa fanya hivi hili kuokoa maisha yako sawa .
kwenye emergency gusta ingia humo alafu utaona neno EMERGENCY information gusa mara mbili (2 times) utaona pencil icon juu upande wa kulia ingia hapo
Kisha bonyeza sehemu ya edit alafu baada ya hapo bonyeza sehemu ya contact ambayo unataka kusave namba muhimu ambazo uta save pale unapopatwa tatizo basi watu wataweza kuwapigia watu wako.
nakushauri hakikisha unaandika namba ambazo zikoo active mean zinapatikan mda wote na anapokea maana hitakusaidia kutoa taarifa haraka kwa ndugu zako au rafiki zako.
maana unaweza kusave namba nyingi sana wewe.
Kumbuka
kupiga namba kwenye emergency ni rahisi ikiwa kwenye lock simu yako gusa kwenye emergency alafu emergency information baada ya hapo utaona namba zote ulizo zi save hapo kwaiyo utapiga bila ku unlock simu ya muhusika.
roho ya mtu inaweza kusaidiwa kwa kufanya hivi
Free to share unaweza kuokoa maisha ya mtu
kwa masuala mbalimbali kuhusu teknolojia kwa lugha ya kiswahili karibu katika page zetu ujifunze Bure
Instagram
YouTube
Facebook
Twitter
Wengi wetu siku hizi tunaweka password / pattern katika simu zetu kwa ajli ya kuweka ulinzi katika simu, hali hii humpa mtu wakati mgumu wa kufungua simu yako bila ruhusa yako.
lakini umeshawahi kujiuliza vip siku umepata ajali , umepoteza simu , unaumwa mpaka ukisha simu umeshindwa au hata umekufa watu watatoaje taarifa zako.
siko hapa kusema/ kukuombea kufa lakini binadamu matatizo ndo maisha yetu hatuwezi kuyaepuka Ila ni vizuri kuweka vitu vyako ulinzi
lakini fikiria siku umetokewa na tatizo huko eneo la public uwezi kushika Wala kuongea kwenye simu yako watu wanataka kukupa msaada lakini hawawezi kutokana simu yako kuweka password / pattern.
Leo nimeamua kuwapa Elimu ambayo itasaidia kuokoa maisha yetu wakati unapopatwa na tatizo simu yako unaweza kukuokoa we fanya kusoma guy ujumbe
ikiwa simu yako huko kwenye locked kwa kawaida hukuambia weka password hili kuweza kuanza kutumia lakini chini yake Kuna neno EMERGENCY
nimeandika kwa herufi kubwa hili huweze kuliona vizuri sawa . sasa fanya hivi hili kuokoa maisha yako sawa .
kwenye emergency gusta ingia humo alafu utaona neno EMERGENCY information gusa mara mbili (2 times) utaona pencil icon juu upande wa kulia ingia hapo
Kisha bonyeza sehemu ya edit alafu baada ya hapo bonyeza sehemu ya contact ambayo unataka kusave namba muhimu ambazo uta save pale unapopatwa tatizo basi watu wataweza kuwapigia watu wako.
nakushauri hakikisha unaandika namba ambazo zikoo active mean zinapatikan mda wote na anapokea maana hitakusaidia kutoa taarifa haraka kwa ndugu zako au rafiki zako.
maana unaweza kusave namba nyingi sana wewe.
Kumbuka
kupiga namba kwenye emergency ni rahisi ikiwa kwenye lock simu yako gusa kwenye emergency alafu emergency information baada ya hapo utaona namba zote ulizo zi save hapo kwaiyo utapiga bila ku unlock simu ya muhusika.
roho ya mtu inaweza kusaidiwa kwa kufanya hivi
Free to share unaweza kuokoa maisha ya mtu
kwa masuala mbalimbali kuhusu teknolojia kwa lugha ya kiswahili karibu katika page zetu ujifunze Bure
Teknolojia ni Yetu sote 🌏 (@bongotech255) • Instagram photos and videos
25K Followers, 264 Following, 665 Posts - See Instagram photos and videos from Teknolojia ni Yetu sote 🌏 (@bongotech255)
www.instagram.com
YouTube
Muron Tutorials
Pata makala mbalimbali yaayohusu teknolojia ya simu, kompyuta , habari maujanja game pesa mitandaoni, matukio mbalimbali duniani pamoja na Mambo mengine meng...
www.youtube.com
Haji Persie Muron
Haji Persie Muron ist bei Facebook. Tritt Facebook bei, um dich mit Haji Persie Muron und anderen Nutzern, die du kennst, zu vernetzen. Facebook gibt Menschen die Möglichkeit, Inhalte zu teilen und...
www.facebook.com