fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Baada ya kuona namna serikali ilivyoboronga kushughulikia suala la mishahara na posho za madaktari, japo siwaungi mkono madaktari kuacha wagonjwa wafe wakidai posho, nimefikiri na kuona ni kama kwamba mungu anataka kutusaidia WaTZ, napendekeza fani zote tuweke dhana za kufanyia kazi chini, serikali ndo itatafuta ufumbuzi wa mambo mengi yanayofanyika vibaya bila hata kujali malalamiko ya wananchi.