Miaka ya hivi karibuni (about three years back) kumekuwepo na funding nyingi sana katika miradi ya uzazi wa mpango kutoka kwa hao wanaojiita wadhili wetu. Miradi mingi ya uzazi wa mpango imepelekea hata kujitoa kwa wafadhili wengi katika funding za HIV/AIDS na Malaria.
Hii ina maana kuwa watu wengi sasa watakufa kwa malaria na HIV/AIDS na kufa kwa watu Tanzania (kama si third world yote) kunamaanisha kupungua kwa idadi ya watu duniani. Sasa basi kwa ufadhili mwingi katika uzazi wa mpango maana yake ni kwamba watu wasizaliwe na mwisho wa siku ni kwamba idadi ya watu Tanzania (kama si 3rd world yote) izidi kuwa ndogo siku hadi siku.
Msingi wake mkuu ni kwamba africa has been blessed with a lot of natural resources like gas, fuel, minerals, land, lakes etc. All of these resources are being shared with white men (Si kila siku wanachuma bure kutokana na ushenzi wetu?) na ili hizi resources zitoshe ni lazima tuwe wachache au tuendelee kuwa wachache na ndo wanafanya kila jitihada tuendelee kupungua either kwa maradhi au uzazi wa mpango.Ukweli ni uzazi wa mpango tunauhitaji lakini ni kwa kidogo sana na si kama unavyopigiwa kelele. UZAZI WA MPANGO KWA MUJIBU WA UFADHILI WA WAZUNGU NI FOR PROPER EXPLOITATION AND WISELY SHARING OF 3RD WORLD RESOURCES. TAFAKARI.
Hii ina maana kuwa watu wengi sasa watakufa kwa malaria na HIV/AIDS na kufa kwa watu Tanzania (kama si third world yote) kunamaanisha kupungua kwa idadi ya watu duniani. Sasa basi kwa ufadhili mwingi katika uzazi wa mpango maana yake ni kwamba watu wasizaliwe na mwisho wa siku ni kwamba idadi ya watu Tanzania (kama si 3rd world yote) izidi kuwa ndogo siku hadi siku.
Msingi wake mkuu ni kwamba africa has been blessed with a lot of natural resources like gas, fuel, minerals, land, lakes etc. All of these resources are being shared with white men (Si kila siku wanachuma bure kutokana na ushenzi wetu?) na ili hizi resources zitoshe ni lazima tuwe wachache au tuendelee kuwa wachache na ndo wanafanya kila jitihada tuendelee kupungua either kwa maradhi au uzazi wa mpango.Ukweli ni uzazi wa mpango tunauhitaji lakini ni kwa kidogo sana na si kama unavyopigiwa kelele. UZAZI WA MPANGO KWA MUJIBU WA UFADHILI WA WAZUNGU NI FOR PROPER EXPLOITATION AND WISELY SHARING OF 3RD WORLD RESOURCES. TAFAKARI.