Family planning na uhuni wa wazungu

Santo

JF-Expert Member
Dec 13, 2011
497
95
Miaka ya hivi karibuni (about three years back) kumekuwepo na funding nyingi sana katika miradi ya uzazi wa mpango kutoka kwa hao wanaojiita wadhili wetu. Miradi mingi ya uzazi wa mpango imepelekea hata kujitoa kwa wafadhili wengi katika funding za HIV/AIDS na Malaria.

Hii ina maana kuwa watu wengi sasa watakufa kwa malaria na HIV/AIDS na kufa kwa watu Tanzania (kama si third world yote) kunamaanisha kupungua kwa idadi ya watu duniani. Sasa basi kwa ufadhili mwingi katika uzazi wa mpango maana yake ni kwamba watu wasizaliwe na mwisho wa siku ni kwamba idadi ya watu Tanzania (kama si 3rd world yote) izidi kuwa ndogo siku hadi siku.


Msingi wake mkuu ni kwamba africa has been blessed with a lot of natural resources like gas, fuel, minerals, land, lakes etc. All of these resources are being shared with white men (Si kila siku wanachuma bure kutokana na ushenzi wetu?) na ili hizi resources zitoshe ni lazima tuwe wachache au tuendelee kuwa wachache na ndo wanafanya kila jitihada tuendelee kupungua either kwa maradhi au uzazi wa mpango.Ukweli ni uzazi wa mpango tunauhitaji lakini ni kwa kidogo sana na si kama unavyopigiwa kelele. UZAZI WA MPANGO KWA MUJIBU WA UFADHILI WA WAZUNGU NI FOR PROPER EXPLOITATION AND WISELY SHARING OF 3RD WORLD RESOURCES. TAFAKARI.
 
Santo,

Nadhani itabidi ujipange upya kwakuwa ulichoeleza haki make any sense.

Imagine Tanzania ingekuwa na watu millioni 8 si tungeishi kwa bata sana pamoja na ufisadi uliopo.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nafurahi kuamini kuwa wewe ni kidume, sasa basi kama una uwezo wa kuzaa watoto mia na kuwatimizia mahitaji yao ya msingi basi wewe zaa, hakuna kifungu kwenye katiba kinachokukataza kuonesha urijali wako, hayo mengine ya wazungu achana nayo..
 
Serikali inapoteza pesa nyingi kwa kununua Contraception. badala ya kununua madawa ya HIV, MALARIA ambazo zinapoteza man power nying

Contraception - sin kwa Roman Cathoric

Vijana wengi wanajiingiza kwenye mapenzi na umri mdogo ; kisa vidonge vya kukinga na mimba vipi.


Mayai ya kina mama ni machache - Ugumba mbeleni

Hospitali za utoaji mimba zinaongezeka na kupunguza badala ya hospitali za kuhudumia Huduma ya kwanza

Swala la utoaji mimba alitakuwatena la kificho (maadili yanatoweka)

Tunatumia pesa nyingi kwenye mambo ya mpango badala ya sera ; China imeendele kwa wingi wa watu. huakika wa soko n.k
 
Ivi family planning ipo katika priority za nchi? Ni huduma gani za afya ambazo wananchi wanazihitaji zaidi? For sure family planning haipo hata katika kumi bora.
 
Hawa waliokuja na hizi pingamizi nao bunyeye tu. Eti gharama za contraception ni nyingi over ya kununua ARV for HIV? what is the best solution?...prevention of the HIV/AIDS by providing contraceptives or kusubiri wapate HIV/AIDS ili wawape ARV? eti vijana wanafanya ngono sana coz of contraception? yes, kufanya ngono katika umri mdogo na before marriage is not acceptable in our culture, but ukichekecha kufanya hivyo would lead to an increase of teen pregnancy and teen motherhood, ambapo itawalazimu pia serikali kuwasaidia. Japo mimi si mshabiki wa utioaji mimba, nachosimamia ni kwamba, kama utoaji wa mimba upo utakuwepo tu hata wakiondoa family planning, tena ndio zitaongezeka. better prevention than seen vijana wa kike wakipata mimba za ovyo, then kufa au kuwa infertile kwa sababu ya utoaji mimba. Those are not convincing arguments to me.
 
Think before you act. Nadhani wengi hamjanielewa, family planning ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa. My point ilikuwa ni kwamba lengo la wazungu kwa ufadhili wao kwetu. What do they benefit for funding family planning activities in 3rd world? Nothing goes for free.
 
Hawa waliokuja na hizi pingamizi nao bunyeye tu. Eti gharama za contraception ni nyingi over ya kununua ARV for HIV? what is the best solution?...prevention of the HIV/AIDS by providing contraceptives or kusubiri wapate HIV/AIDS ili wawape ARV? eti vijana wanafanya ngono sana coz of contraception? yes, kufanya ngono katika umri mdogo na before marriage is not acceptable in our culture, but ukichekecha kufanya hivyo would lead to an increase of teen pregnancy and teen motherhood, ambapo itawalazimu pia serikali kuwasaidia. Japo mimi si mshabiki wa utioaji mimba, nachosimamia ni kwamba, kama utoaji wa mimba upo utakuwepo tu hata wakiondoa family planning, tena ndio zitaongezeka. better prevention than seen vijana wa kike wakipata mimba za ovyo, then kufa au kuwa infertile kwa sababu ya utoaji mimba. Those are not convincing arguments to me.

watu wa mungu alizama tujaze dunia
 
Santo,

Nadhani itabidi ujipange upya kwakuwa ulichoeleza haki make any sense.

Imagine Tanzania ingekuwa na watu millioni 8 si tungeishi kwa bata sana pamoja na ufisadi uliopo.
:bolt:Nchi ikiwa kubwa kama yetu na idadi ya watu ikawa ndogo na wakaishi kwa msambao kama ilivyo hapa TZ hawawezi kula bata.Je, uasafiri maeneo yenye watu wachache ukoje? Kwa kawaida ipo population ambayo inaweza kusapoti maendeleo na TZ iko underpopulated. Hakuna nchi hata moja duniani yenye population density ndogo na imeendelea. Mfn Japan, Uingereza Population density huko ni kubwa sana.
 
Miaka ya hivi karibuni (about three years back) kumekuwepo na funding nyingi sana katika miradi ya uzazi wa mpango kutoka kwa hao wanaojiita wadhili wetu. Miradi mingi ya uzazi wa mpango imepelekea hata kujitoa kwa wafadhili wengi katika funding za HIV/AIDS na Malaria.

Hii ina maana kuwa watu wengi sasa watakufa kwa malaria na HIV/AIDS na kufa kwa watu Tanzania (kama si third world yote) kunamaanisha kupungua kwa idadi ya watu duniani. Sasa basi kwa ufadhili mwingi katika uzazi wa mpango maana yake ni kwamba watu wasizaliwe na mwisho wa siku ni kwamba idadi ya watu Tanzania (kama si 3rd world yote) izidi kuwa ndogo siku hadi siku.


Msingi wake mkuu ni kwamba africa has been blessed with a lot of natural resources like gas, fuel, minerals, land, lakes etc. All of these resources are being shared with white men (Si kila siku wanachuma bure kutokana na ushenzi wetu?) na ili hizi resources zitoshe ni lazima tuwe wachache au tuendelee kuwa wachache na ndo wanafanya kila jitihada tuendelee kupungua either kwa maradhi au uzazi wa mpango.Ukweli ni uzazi wa mpango tunauhitaji lakini ni kwa kidogo sana na si kama unavyopigiwa kelele. UZAZI WA MPANGO KWA MUJIBU WA UFADHILI WA WAZUNGU NI FOR PROPER EXPLOITATION AND WISELY SHARING OF 3RD WORLD RESOURCES. TAFAKARI.

Kama vile serikali yako imelazimishwa kua funded.

Lkn tukumbuke kua serikali ya CCM ni fisadi hata kwa fedha za wafadhili hivyo malengo ya wafadhili pia hayatafanikiwa labda waje waongoze wenyewe.
 
Think before you act. Nadhani wengi hamjanielewa, family planning ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa. My point ilikuwa ni kwamba lengo la wazungu kwa ufadhili wao kwetu. What do they benefit for funding family planning activities in 3rd world? Nothing goes for free.
Huku watu wakiwa wengi watakimbilia Ulaya hawataki
 
Back
Top Bottom