Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenikumbusha mbali sana , kuna yeyote anayekumbuka ile hadithi ya Ndoto za Kimweli?
Duuh! nizamani sana, enzi hizo chipukizi yani tulikuwa tunaadaptishwa umagamba liveUmenikumbusha enzi tulikuwa tunaaga hivi parade "vijana mpo....., ndiyo tupo, tupo kabisa shauri chama chini ya uongozi wa umoja wa vijana, ccm juu, ccm juu, ccm juu kwa heri mwalimu.
Dah umenikumbusha mbali miaka ile ya 80 yaani hapo ndio elimu ilikuwepo kama una ile ya Mandawa na Manenge mkuu iweke pia[/QUOT
Yaani mkuu umefufua hisia za kitambo sana. Zama zile, hata kama hatukuwa na madarasa tulipata elimu. Siku hizi watu wanajivunia madarasa ambayo hayana elimu; Kwa upamde mwengine wa maisha: Mrs daudi bado anaonekana yuko fit hata baada ya kutotoa mara tatu. Siku hizi mhh!